Salim Said Bakhresa ametajwa na Jarida la Forbes miongoni mwa matajiri kumi barani Afrika.

Kwenye list ya top tax-payers hayupo! Shamba la bibi!

Tatizo siyo lake bali la TRA wanaong'ang'ania kodi ya mishahara - PAYE, sigara, bia na kufukuzana na na wachuuzi wadogowadogo mitaaani.
 
Ajira zake ni za watu wasioenda shule na huwa ni Mdini sana!! Count my word Ukienda Viwanda vya Mengi Ratio ya dini Huwa ni SIO KIGEZO depends on relevant Skills!! Nenda kwa Huyu Bwana ration ni 99% by 1% depends on religion and not skill!! Count my word!! But always if you dont count on skills means cheap labour!!

Sidhan kama angafanikiwa kama angekua anatumia kigezo cha din na si skills kwenye ajira!nimepata wasiwasi kuhusu info za watu weng hapa kuhus bakhresa kwan weng naona wanamuhukum kwa hisia na sio facts!!hiv timu ya azam ina waislam na wapemba tu au hii nayo haitumii skills!research ya ipp kuajiri 50-50 umeifanya lin?Tanzania inaelekea kubaya na nadhan humu jf hali inazid kuwa mbaya akiteuliwa mtu,akisifiwa,akiiba,akibaka watu wanaanza kuangalia ni din gan then wana comment,hii dhambi tutailipia siku moja.
 
Pia naona Bakhresa wamepata TUNZO Winners of the G20 Challenge - kwa mafanikio ya kuleta mabadiliko kwa wananchi wa kawaida kupitia bidhaa na huduma zao

Winners of the G20 Challenge

The Group of 20 has announced the winners of the G20 Challenge on Inclusive Business Innovation. Ambassador Mr. Rogelio Granguillhome, Executive Secretary of the Mexican Agency for International Development Cooperation and Chair of the G20 Development Working Group presented awards to the following 15 winners at a ceremony in Los Cabos, Mexico, on June 18, 2012:

Bakhresa Grain Milling (Malawi)
read more: G20 Challenge on Inclusive Business Innovation
 
sikuelewi kabisa.umesema bakhresa ameingia top ten ya matajiri afrika,hapo hapo unatuambia yupo\kwenye listi ya matajiri 40 wanaosubiri kuingia top ten.kama yupo top ten inakuwaje yupo kwenye list ya watu 40wanaosubiri?
 
Sidhan kama angafanikiwa kama angekua anatumia kigezo cha din na si skills kwenye ajira!nimepata wasiwasi kuhusu info za watu weng hapa kuhus bakhresa kwan weng naona wanamuhukum kwa hisia na sio facts!!hiv timu ya azam ina waislam na wapemba tu au hii nayo haitumii skills!research ya ipp kuajiri 50-50 umeifanya lin?Tanzania inaelekea kubaya na nadhan humu jf hali inazid kuwa mbaya akiteuliwa mtu,akisifiwa,akiiba,akibaka watu wanaanza kuangalia ni din gan then wana comment,hii dhambi tutailipia siku moja.

Ndugu Hii research nimeifanya na ndio Maana huyu Bwana kwa kupumbaza watu ameamua kujenga misikiti kwenye kila kiwanda chake!! Hii ikimaanisha wafanyakazi wake Anawaandalia Maisha AHERA na sio Maisha ya sasa!! Iweje yeye awe na utajiri Mkubwa kihivyo wakati wafanyakazi wake Hawana chochote kwenye Maisha ya Hapa duniani? Ni bora Angejali dini na Huku akawa anawalipa Vizuri!! Sasa Unawalipa watu pesa kidogo hivyo ndio umewakwamua au ndio umewatumbukiza kunako Tanuru la Moto? Kwa mengi sijasema ameajiri 50% by 50% Kwani kwenye ajira hakuna sehemu inasema ratio iwe ni dini!! Kwani dini ya jirani yangu inanisaidia Vipi katika kupambana na ugumu wa Maisha? au dini Yako wewe Itanisaidia vipi? au Hata ya huyo Bakressa? NIMESEMA ANAZINGATIA SKILLS NA HAJAJENGA MAKANISA WALA MISIKITI KUNAKO BIASHARA ZAKE!!
 
lazima mjue bizaa zinazousiana na chakula azitozwi kodi kubwa sababu ni basic needs,sio mnalalamika bila kufanya uchunguzi
 
Wabongo Siasa mpaka kwenye biashara, mtakuwa hamuendelei. Na hiyi akili ya kuwa anapendelea dini kwenye kuajiri watu wa kuendesha vitoroli? au Top management. Kama unashule nenda Ukacompete ta havard graduants pale.
 
kawapa ajira kina nani? Hebu kaangalie katika sea bus, kuna mgogo, njoo dodoma kuna mgogo katika ice-cream zake na keki?

company is managed by his sons.
Source: Forbes magazine
km kampuni zake wanaongoza
watoto hapo mm nitapataje ajira? Nikienda zanzibar kweli mm mgogo tena mkisto nitapewa kazi na hao watoto wake.
Kumlinganisha na mengi aliyemuajiri farouk karim itv zanzibar, ni tofauti

nadhani una ugonjwa wa kutojiamini, mimi najua mpaka wazungu wapo pale bakhresa, wapo baniani, wapo zaidi ya wagogo na mahaya...lakini kuna ubaya gani mtu kuajiri ndugu zako ? Wewe hujui kwanza nyumbani ? Wote ni watanzania,
na farouk karim ni mwandishi wa kujitegemea sio mwajiriwa wa itv, yeye ni muuza magazeti na vitabu ndio kazi yake na uandishi wa kujitegemea na huwa anaiwakilisha itv znz
kama unazo sifa omba kazi kwake utapata kama nafasi ipo
 
nadhani una ugonjwa wa kutojiamini, mimi najua mpaka wazungu wapo pale bakhresa, wapo baniani, wapo zaidi ya wagogo na mahaya...lakini kuna ubaya gani mtu kuajiri ndugu zako ? Wewe hujui kwanza nyumbani ? Wote ni watanzania,
na farouk karim ni mwandishi wa kujitegemea sio mwajiriwa wa itv, yeye ni muuza magazeti na vitabu ndio kazi yake na uandishi wa kujitegemea na huwa anaiwakilisha itv znz
kama unazo sifa omba kazi kwake utapata kama nafasi ipo

pamoja na hayo wanae wao n wasimamiz ktka wakuu ktka kamun xo hawazuii ww kuajiriwa pale na kumbuka ile n kampun binafsi na yakifammilia hvyo top management itahusisha waid familia japo wameajiri na wazungu kiufundi zaid
 
pamoja na hayo wanae wao n wasimamiz ktka wakuu ktka kamun xo hawazuii ww kuajiriwa pale na kumbuka ile n kampun binafsi na yakifammilia hvyo top management itahusisha waid familia japo wameajiri na wazungu kiufundi zaid

Hata kama ataajiri jamaa zake hakuna ubaya wo wote, mbona wengine tumehamishia mihela yetu Uswisi na bado binamu zetu na watu wa imani zetu tumeshindwa kuwaajiri hata kwa ujira mdogo?

Hoja ingekuwa nzuri kama bidhaa zake zingekuwa substandard kwa sababu ya jamaa zake hawajui kazi au imani yake inasababisha lamba lamba zake ziwe chungu.

Salim wewe leta unga mtaani kwetu tupike chapati, mbona hatumtafuti aliyeua NMC?
 
Ajabu bidhaa za AZAM pamoja quality yake nzuri havipatikani madukani/supermarket Kenya. Tatizo lipo wapi?
 
*********I like this guy though no one knows the details and manners in which he is operates his business. If the guy is clean as we think so, I would suggest the Gvt to give him a greenligh to operate TRL instead of giving the same to foreigners
 
Literary from rags to riches fairy tale. Makes a compelling bussiness case study.
 
Ajabu bidhaa za AZAM pamoja quality yake nzuri havipatikani madukani/supermarket Kenya. Tatizo lipo wapi?

That is not true, I was in Naakuru-kenya unga wa azam upo the same in Kigali Rwanda that was the only product nilizoona kutoka Tanzania. Ingawa sijafika Congo pia nasikia wanakula ugaliwa azam
 
Ndugu Hii research nimeifanya na ndio Maana huyu Bwana kwa kupumbaza watu ameamua kujenga misikiti kwenye kila kiwanda chake!! Hii ikimaanisha wafanyakazi wake Anawaandalia Maisha AHERA na sio Maisha ya sasa!! Iweje yeye awe na utajiri Mkubwa kihivyo wakati wafanyakazi wake Hawana chochote kwenye Maisha ya Hapa duniani? Ni bora Angejali dini na Huku akawa anawalipa Vizuri!! Sasa Unawalipa watu pesa kidogo hivyo ndio umewakwamua au ndio umewatumbukiza kunako Tanuru la Moto? Kwa mengi sijasema ameajiri 50% by 50% Kwani kwenye ajira hakuna sehemu inasema ratio iwe ni dini!! Kwani dini ya jirani yangu inanisaidia Vipi katika kupambana na ugumu wa Maisha? au dini Yako wewe Itanisaidia vipi? au Hata ya huyo Bakressa? NIMESEMA ANAZINGATIA SKILLS NA HAJAJENGA MAKANISA WALA MISIKITI KUNAKO BIASHARA ZAKE!!



Mkuu kwa hili naomba nipingane na wewe,kila mwaka vijana wengi wanaohitimu vyuo vikuu hasa Sokoine wanaosomea mambo ya food sciences and technology wamekuwa wakiajiriwa kwenye viwanda vya huyu mtu na sijasikia wakilalamikia kigezo cha dini hata siku moja, Kuhusu malipo ya mshahara uki-compare yeye na makampuni ya IPP sitaki kuwa mnafiki naomba urudie tafiti yako tena anzia waajiriwa wa vyombo vya utangazaji katika IPP. Hili wala halihitaji nguvu hebu niambie ni watangazaji wangapi pale wamedumu kwa muda mrefu?Unafikiri tatizo ni nini?

Hebu tuacheni husuda ndugu zangu,tupongezaneni jamani kwa mafanikio wivu wa kike huwa haujengi.Wivu bora ni ule wa kujiuliza kwanini yeye kaweza mimi nishindwe.
 
Uzuri wa Nigeria ni wamatumbi wa huko ndio wanamakuta mingi, hapa bongo sasa na wamatumbi wasake noti wafike mbali. Mmatumbi akizishika na yenyewe ni patashika atataka aonekane yeye kwenye luninga na magazeti, atataka pia aitwe mheshimiwa atajaza wapambe lukuki mademu wakali ndio mpango mzima.

Bakhresa yeye kimya kimya mpaka katoka, kelele mpige nyie yeye anatengeneza fedha. The guy deserve na urasimu wa Tanzania ulifanya akakosa shamba bongo la ngano na kuvuka zambia the other side kapewa eneo la kutosha huku bongo politike zinaendelea.

Wamatumbi punguzeni politike na kushobokea wanasiasa pigeni kazi ili kwenye forbes muwepo mkileta mchezo atafuatia MO, Manji, Patel na Rostam ndio watakaoitwa watanzania. Wakina sie tunataka tusifiwe kwa kujaza thread na kugonga thanks JF na FB.
 
Back
Top Bottom