Salim Kikeke..............@ BBC

Samadu Hassan wa Statv naye ni bingwa sana wa International news ambapo watangazaji wengi wa tanzania hawawezi nahisi sababu ya lugha. Watangazaji

Zamani Samadu nilikuwa namsikia Kenya. Hata John Karani wa Kiss FM. Kwani wote ni wakenya?
 
Samadu Hassan wa Statv naye ni bingwa sana wa International news ambapo watangazaji wengi wa tanzania hawawezi nahisi sababu ya lugha. Watangazaji

Mkuu:Samadu Hassan yeye hutangaza kwa lugha ya Kiingereza hizo habari za kimataifa...?
 
Aliniudhi tu pale alimpomtelekeza Rukia Mtingwa na Watoto! Mia
<br />
<br />
aisee salym kala hii makitu? Da rukia ana sauti ya mahaba tena kwa bed akilalama aisee...nafkri salym labda alipata totozi kali zaidi...not bad hata mie ningembwaga rukia..acheni kabisa kuna totozi unakutana nayo wallahi wallahi break ya kwanza lazma uwahi uvinza...
 
Wadau, mimi ni mpenzi wa kipindi cha habari kinachorushwa na BBC kuanzia saa 3 kamili usiku kupitia Star TV. licha ya habari moto moto ambazo unazipata, pia kuna huyu mtangazaji anayeitwa Salim Kikeke.. Kifupi, jamaa ni jembe sana. Huwezi kuchoka ukiwa unamsikiliza au kumwangalia anavyotangaza.

Nimegundua licha ya technolojia waliyonayo BBC, lakini ubunifu unahusika kwa kiwango kikubwa sana, kumfanya mtazamaji au msikilizaji aweze kuendelea kufatilia matangazo. Kwa watangazaji wa hapa bongo, ni vipindi vichache sana ambavyo unaweza kuvutika kiasi hicho. Mfano, hata kama unaangalia taarifa ya habari kwenye kituo flan cha television au redio, ni vigumu kuitazama yote katika shauku ileile mpaka taarifa yote iishe.

Nadhani, watangazaji wetu wa bongo, wanapaswa kuwa wabunifu katika vipindi vyao ili viweze kuvutia na kuwa vya kimataifa pia. Nakiri kuwa vipo vipindi vichache vizuri lakini vingi bado havikidhi haja ya kimataifa.

Ni mtazamo tu binafsi!

Kwanza nimekuunga mkono kwa kuipenda thread yako halafu nilikaa na kutafakari kuhusu huyu Salim Kikeke, huyu Bw alikuwa mtangazaji kama sijasahau kiasi hicho alikuwa ITV/Radio One.

Kuwa mtangazaji wa BBC kwanza unakuwa na uhakika wa maslahi. Hata akitabasamu anapendeza hatabasamu kwa unafiki, akiweka pause ni pause la kupumua siyo pause la kufikiria ukitoka hapo utaenda kula nini!!! Waajiri wetu sera yao ni UNYONYAJI TU kuhakikisha mwajiriwa hapati fedha za kumuwezesha kuishi japo wiki moja.

Employers in Tanzania do make sure their employees do get as little amount to sustain for a week as possible, this is their policy.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom