Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,220
- 370
Wana JF,
Jana katika kipindi cha njia panda - Radio Clouds FM kulikuwa na mjadala ambao ulianza tokea week iliyo pita kuhusu vijana wanao pelekwa nchi za kiarabu kufanya kazi na kujikuta kunyanyaswa na kupata mateso na kuwabidi kurudi tanzania kwa shida sana
Kwenda kwa hawa watu huko nchi za kiarabu kufanya kazi ni kutokana na kuitajika kwa wafanyakazi wa ndani na wahusika wakuu wa kuwapeleka watu au sie huku tunawaita madalali ni watanzania wenzetu wengine wana uwezo kabisa na matajiri mfano Salim ally tajiri mwenye majumba mengi hapo Arusha anahusika na sii tu kwa kupeleka wafanyakazi uarabuni bali hata kuwanyanyasa vibaruwa wake kwani twajua fika sasa kuwa Salim Ally hana mfanyakazi aliye ajiliwa wote ni vibarua na alisha waambia wafanyakazi wake kuwa waendekokote wakaseme kwani serikali hatomfanya kitu.
Salim Ally kwa sasa twajua yuko nje ya nchi pili nii kuwa anaanza kuyumba kiuchumi kwani kipindi Adv.Mwale kawekwa ndani nae alikuwa ndani kwa kesi ya kuzurumu wadhamini wake walio mfanya mpaka akafikia hapo alipo kimali na ni waitaliano ambao anataka kuwarusha mtambo wa kutengenezea ngozi za wanyama iliziweze kuzalisha ngozi ya kutengenezea viata na vitu vingine na kesi yake iko mahakamani.
Jana katika njia panda tulisikia watu wengi wakimsema salim ally kuwa anavibarua tu ambao wamefanya kazi zaidi ya miaka 5 bila ajira na anakesi Idara ya kazi ambayo mpaka sasa hajashughurikiwa, pia kuacha kazi kwake ni lazima tu akuzushia jambo yani mtaachana kwa fujo na si kwa aamani, salim ally huyo huyo anahusika na kuwapeleka watanzania uarabuni na kupata mateso na kuwatelekeza.
My Take;
Serikali yetu ndio chanzo kikubwa sana katka mambo kama haya yanapo tokea na hayafuatiliwi matajiri wengi wana kiuka sana sheria za nchi zilizopo na kuwa wahonga wafanyakazi wa hizi idara husika kama Idara ya kazi, Uhamiaji, Police hawa wote wamewekwa chini ya mikono ya hawa matajiri wasio thamini utu wa watanzania wenzao na kujifanya wao watoa misaaada sana kwa wanchi kumbe nyuma yake ni wanayama wa hali ya juu.
Serikali inapofika mahali inadhalauliwa na viongozi watendaji wake wapo makazini ni fedheha sana na aibu ni kudhihirisha kuwa serikali haipo, ni muda sasa serikali ijitambue kuwa wajibu wake ni kuwaongoza watanzania na sio kuwa beba matajiri.
Karibuni kuchangia hoja
Jana katika kipindi cha njia panda - Radio Clouds FM kulikuwa na mjadala ambao ulianza tokea week iliyo pita kuhusu vijana wanao pelekwa nchi za kiarabu kufanya kazi na kujikuta kunyanyaswa na kupata mateso na kuwabidi kurudi tanzania kwa shida sana
Kwenda kwa hawa watu huko nchi za kiarabu kufanya kazi ni kutokana na kuitajika kwa wafanyakazi wa ndani na wahusika wakuu wa kuwapeleka watu au sie huku tunawaita madalali ni watanzania wenzetu wengine wana uwezo kabisa na matajiri mfano Salim ally tajiri mwenye majumba mengi hapo Arusha anahusika na sii tu kwa kupeleka wafanyakazi uarabuni bali hata kuwanyanyasa vibaruwa wake kwani twajua fika sasa kuwa Salim Ally hana mfanyakazi aliye ajiliwa wote ni vibarua na alisha waambia wafanyakazi wake kuwa waendekokote wakaseme kwani serikali hatomfanya kitu.
Salim Ally kwa sasa twajua yuko nje ya nchi pili nii kuwa anaanza kuyumba kiuchumi kwani kipindi Adv.Mwale kawekwa ndani nae alikuwa ndani kwa kesi ya kuzurumu wadhamini wake walio mfanya mpaka akafikia hapo alipo kimali na ni waitaliano ambao anataka kuwarusha mtambo wa kutengenezea ngozi za wanyama iliziweze kuzalisha ngozi ya kutengenezea viata na vitu vingine na kesi yake iko mahakamani.
Jana katika njia panda tulisikia watu wengi wakimsema salim ally kuwa anavibarua tu ambao wamefanya kazi zaidi ya miaka 5 bila ajira na anakesi Idara ya kazi ambayo mpaka sasa hajashughurikiwa, pia kuacha kazi kwake ni lazima tu akuzushia jambo yani mtaachana kwa fujo na si kwa aamani, salim ally huyo huyo anahusika na kuwapeleka watanzania uarabuni na kupata mateso na kuwatelekeza.
My Take;
Serikali yetu ndio chanzo kikubwa sana katka mambo kama haya yanapo tokea na hayafuatiliwi matajiri wengi wana kiuka sana sheria za nchi zilizopo na kuwa wahonga wafanyakazi wa hizi idara husika kama Idara ya kazi, Uhamiaji, Police hawa wote wamewekwa chini ya mikono ya hawa matajiri wasio thamini utu wa watanzania wenzao na kujifanya wao watoa misaaada sana kwa wanchi kumbe nyuma yake ni wanayama wa hali ya juu.
Serikali inapofika mahali inadhalauliwa na viongozi watendaji wake wapo makazini ni fedheha sana na aibu ni kudhihirisha kuwa serikali haipo, ni muda sasa serikali ijitambue kuwa wajibu wake ni kuwaongoza watanzania na sio kuwa beba matajiri.
Karibuni kuchangia hoja