Salim Ahmed Salim to chair Mo Ibrahim adjudication committee

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Former Tanzanian Prime Minister and Secretary General of the Organization of African Unity (OAU), Dr Salim Ahmed Salim will lead a panel of distinguished global leaders who will decide the winner of this year's Mo Ibrahim African Leadership Award.
 
Former Tanzanian Prime Minister and Secretary General of the Organization of African Unity (OAU), Dr Salim Ahmed Salim will lead a panel of distinguished global leaders who will decide the winner of this year’s Mo Ibrahim African Leadership Award.

kama jina la muzee wa musoga lipo aliondoe kwanza kuepusha panel pollusion
 
anakubalika sana ingawa dhaifu alisema jamaa ni mwarabu! Kweli dhaifu ni bingwa wa unafiki!
 
....watu na elimu zao wala hawajioneshi only actions talk sio kama kina sie elimu ya kubabia kila siku kujinadi kwenye vyombo vya habari....
 
Hii imenikumbusha dhaifu alivyomletea fitna na kunyimwa nafasi ya Urais!
 
Imenikumbusha promoter alivyomzushia jamaa ni hizbolah
 
Winner wa mwaka huu ni mmoja kote barani Africa. Na jina la mtu huyo anaitwa Kamanda Paul Kagame wa Rwanda.

Ni JK ndo winner ;
sababu

1- Suala la Zanzibar CUF +CCM
2. Kuruhusu Katiba mpya
3. Uhuru wa kupindukia ,ambao sio uhuru kwani ulishavuka mipaka
4. Laiser fair policies
5. Salm aliza atangeneze wapambe wa kumpitisha
6. kupambana na ugaidi- tulivyosifiwa na Marekani
7. Mgogoro wa uraisi kenya alivyosuruhisha
8. Elimu (kuongeza mashule ya kata na vyuo; Idadi ya Wasomi Tanzania imeongezeka toka 20% mpk 46%
9. Kupambana na madawa ya kulevya
10. Kuongeza Idadi ya wanawake kwenye ngazi za maamuzi na ubunge, ukuu wa wilaya na mikoa
11. Kilimo kwanza TANZANIA inajitoshereka kwa kilimo ; Toka 2007 Atujaagiza vyakula
 
Ni JK ndo winner ;
sababu

1- Suala la Zanzibar CUF +CCM
2. Kuruhusu Katiba mpya
3. Uhuru wa kupindukia ,ambao sio uhuru kwani ulishavuka mipaka
4. Laiser fair policies
5. Salm aliza atangeneze wapambe wa kumpitisha
6. kupambana na ugaidi- tulivyosifiwa na Marekani
7. Mgogoro wa uraisi kenya alivyosuruhisha
8. Elimu (kuongeza mashule ya kata na vyuo; Idadi ya Wasomi Tanzania imeongezeka toka 20% mpk 46%
9. Kupambana na madawa ya kulevya
10. Kuongeza Idadi ya wanawake kwenye ngazi za maamuzi na ubunge, ukuu wa wilaya na mikoa
11. Kilimo kwanza TANZANIA inajitoshereka kwa kilimo ; Toka 2007 Atujaagiza vyakula

The Ibrahim Prize is awarded to a democratically elected former African Executive Head of State or Government who has served their term in office within the limits set by the country's constitution, has left office in the last three years, and has demonstrated excellence in office.

The Ibrahim Prize consists of US$5million over 10 years and US$200,000 annually for life thereafter. It is the largest annually awarded prize in the world. The Foundation will consider granting a further $200,000 per year, for 10 years, towards public interest activities and good causes espoused by the winner.
The winner of the Ibrahim Prize is selected by an independent Prize Committee, appointed by the Foundation Board.
The importance of high quality leadership in sub-Saharan African cannot be overstated. There are many challenges and often few resources of state to address them. It is why the efforts of those leaders who rise above these contraints to develop their countries, lift people out of poverty, and pave the way for future prosperity and success should be recognised and celebrated.

The Ibrahim Prize will also help to ensure that Africa doesn't lose the experience and expertise of its best leaders when they leave office, by enabling them to continue in other public roles.
One of the best ways to channel resources is to strengthen great African leadership by recognising and celebrating the individuals who play such a critical role in determining the future of their countries. Considering that in 2008 alone, aid to sub-Saharan Africa from G7 countries totalled just over an estimated US$25 billion, the Foundation believes that the money it is contributing through the Ibrahim Prize is a comparatively small investment. But given to an individual with a proven ability to contribute to Africa the money has the potential for very significant returns.

Ukisikia kukurupuka ndio huku, watu hata hiyo Mo Ibrahim award inatolewa kwa viongozi wa aina gani hamjui, mnaanza kutaja watu ambao bado wapo madarakani kama Kagame, JK nk
 
Back
Top Bottom