Hiyo kamba aliovaa shingoni mbona kama HIRIZI:tape:
ahaaaaaa si gold hiyo
Hiyo kamba aliovaa shingoni mbona kama HIRIZI:tape:
Hiyo kamba aliovaa shingoni mbona kama HIRIZI:tape:
mbona mkwere hapangi foleni??
Hivi jamani kwa nini Watz tunakosa ustaarabu, mzee wetu huyu pamoja na
kulitumikia taifa letu karibu maisha yake yote, anaachwa na kunyanyasika
kwa kusimama katika foleni???.... hii imekaaje?
View attachment 16056
Hivi jamani kwa nini Watz tunakosa ustaarabu, mzee wetu huyu pamoja na
kulitumikia taifa letu karibu maisha yake yote, anaachwa na kunyanyasika
kwa kusimama katika foleni???.... hii imekaaje?
View attachment 16056
Hivi jamani kwa nini Watz tunakosa ustaarabu, mzee wetu huyu pamoja na
kulitumikia taifa letu karibu maisha yake yote, anaachwa na kunyanyasika
kwa kusimama katika foleni???.... hii imekaaje?
View attachment 16056
Pamoja na kutopanga foleni lakini nilishangaa jana chumba alichopigia kura kilikuwa na meza nzuri sana, Carpet chini, kwa kweli ilikuwa kama imeandaliwa kwa sababu fulani hivi.!mbona mkwere hapangi foleni??