Wana JF,
Naomba kujua mtu anawezaje kuwa na Computer iliyounganishwa internet na kupata pesa kwa kuwa "Affiliate market" hasa wa sekta za utalii na Hoteli au biashara nyingine?
Naweza kuwa hapa Tanzania na kufanya kazi kwa kampuni ya Uingereza au Marekani na kupata commission?
Zipo Kampuni za kitanzania zinahitaji watu kama hao katika kuwaletea visitors kwa malipo ya commission?
Kwa mfano naelewa mambo ya 'search engine optimization" kwenye Google, yahoo, alta vista, aol, msn, live n.k
Tafadhali msaada hapo
Naomba kujua mtu anawezaje kuwa na Computer iliyounganishwa internet na kupata pesa kwa kuwa "Affiliate market" hasa wa sekta za utalii na Hoteli au biashara nyingine?
Naweza kuwa hapa Tanzania na kufanya kazi kwa kampuni ya Uingereza au Marekani na kupata commission?
Zipo Kampuni za kitanzania zinahitaji watu kama hao katika kuwaletea visitors kwa malipo ya commission?
Kwa mfano naelewa mambo ya 'search engine optimization" kwenye Google, yahoo, alta vista, aol, msn, live n.k
Tafadhali msaada hapo