Ongeauchoke
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 149
- 22
Semeni chanzo cha habari yenu.
Mkuu Nyanya mbichi unazungumza utumbo kwanini? huko unakosema kuwa Rais wetu anazurura kuna ndugu zake huko anakokwenda?Si anakwenda kikazi?au anakwendaObama anaongoza {Taifa} state karibu bara loote la Afrika
Kikwete anaongoza mtaa
Uchumi wa USA ni mkubwa saaaaana au uko juu tofauti na mtaaa wetu
Obama mchapa kazi
Rais wetu daily anadhurura tuuuu
Salary jk kwa mwezi ni 25mil kwa mwaka ni 300mil kwa 10yrs ni 3bil..just a salary.. wat about you? wat is yours?
kwa rais wa nchi kama kikwete ambaye han uchungu na nchi yake na ambaye aliingia madarkani kwa kutumia pesa yake nyingi hiyo pesa ni ndogo sana na siamini
Anategemea pia na za EPA, Dowans na Richmond. Kama unabisha waulize kina Riz!Nadhani hizo milioni 30 za Maximo zilitoka kwenye miradi mingine. Sidhani Kikwete anategemea mshahara wa Ikulu peke yake.
Hapo hujaweka allowance yake ya kusafiri kwenda nchi za nje daah
That income is most likely from the dividends of mafia deals of Dowans, IPPTL, Pan African Energy et al. We now know why you've been a prominent vociferous defender of poor CCM deeds and policies.My last year income was US$ 2,634,678.94
Watu wanapata hela hapa tz sema raisi yeye anakuwa na power ila interms of cash wengi wanampita
That income is most likely from the dividends of mafia deals of Dowans, IPPTL, Pan African Energy et al. We now know why you've been a prominent vociferous defender of poor CCM deeds and policies.