Salary jk kwa mwezi ni 25mil kwa mwaka ni 300mil kwa 10yrs ni 3bil..just a salary.. wat about you? wat is yours?
Mimi ninaziona hizo TSHS 3 Billlion kwa miaka 10 ni ndogo sana ukilinganisha na Mtu kama Rais Wa Amerika Barack Obama anayelipwa kwa Mwaka Mmoja Dola Laki 4. KutokanaMtimkavu hiyo salary ni kubwa sana kwa rais mtu ambaye anapewa kila kitu for the rest of his life yeye na family yake
Kwa kutofautiana na viongozi wa nchi nyingine rais wa Marekani anajinunulia au kujilipia mwenyewe chakula chake.Mimi ninaziona hizo TSHS 3 Billlion kwa miaka 10 ni ndogo sana ukilinganisha na Mtu kama Rais Wa Amerika Barack Obama anayelipwa kwa Mwaka Mmoja Dola Laki 4. Kutokana
na majukumu aliyokuwa nayo mengi Rais wetu kulipwa Pesa ya Shillingi 3 Bllioni kwa miaka kumi ni ndogo sana
mimi nilifikiri analipwa kwa kila mwezi? kumbe pesa ya Miaka kumi?Mkuu Mozila Hebu hizo Pesa Ya Rais wetu TShS 3 Billioni Zifananishe kwa Dola itakuwa ni dola ngapi? What will obama salary be as president?
Answer:
The President of the United States earns $400,000 a year. The vice president's annual salary is $221,100
What will obama salary be as president
Hivi kumbe Rais wa Bongo mshahara wake ni Mil 25 tu? Sasa aliwezaje kumlipa maximo mil 30 kwa mwezi? Mkuu unauhakika ni mil 25 tu ndiyo mshahara wa Rais?
Nadhani hizo milioni 30 za Maximo zilitoka kwenye miradi mingine. Sidhani Kikwete anategemea mshahara wa Ikulu peke yake.
Sina uhakika,kama ni hiyo basi ni ya kawaida sana! Weka na posho zake zote kwa mwezi ili tuone
Nadhani hizo milioni 30 za Maximo zilitoka kwenye miradi mingine. Sidhani Kikwete anategemea mshahara wa Ikulu peke yake.