Salamu zangu ziwafikie Bodi ya Mikopo (HESLB)

msomso

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
464
152
Ndugu wanajamvi hawa Bodi ya mikopo (HESLB) wanasikitisha sana.

Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, mkopo wangu ulienda UDSM wakati mimi nimechaguliwa chuo kingine.Cha ajabu tokea nianze chuo huwa kuna utaratibu kila baada ya miezi miwili kupata pesa but mpaka sasa nimepata Mara moja tu ile Quarter ya pili ambayo ni Tsh 524,000.

Ile ya Quarter ya kwanza walidai ntaipata semester hii tukifungua.Sasa tumefungua chuo tangu Jumatatu but mimi niko Dodoma leo ndo nakuja Dar.

Leo nilimtuma jamaa yangu Bodi ya Mikopo na alinijibu kuwa ameambiwa bado UDSM hawajarudisha pesa zangu.Nimesikitika sana kwa majibu ya hao watu wa malipo second floor pale HESLB lakini nawaambia majibu hayo muda si mrefu yatawagharimu.

Mimi nina madeni makubwa nimekosana mpaka na rafiki ,ndugu zangu sababu kubwa wao kwa sababu nimekopa pesa sijawalipa. Mungu ni mwema na muda si mrefu watatumbuliwa tena natoa utabiri.

Idara ya malipo HESLB ni wavivu, wajuaji na wazembe.
 
Hawa jamaaa wamalio second flour majibu yao laini sana ila time will tell
 
Ndugu zangu naombeni msaada wenu

Leo nilikuwa nalipia fomu Bodi ya mkopo
Kupitia ile njia ya OLA

Katika kujaza nimekosea mwaka Badala ya 2013 nikaweka 2016

Je nawezaje kubadili hii taarifa au ndiyo niandike maumivu?

Coz nimelipa Tsh 30,000/-
Je nilipe tena nyingine ama kuna namna ya kusahihisha nilichokosea?

Wakuu naombeni msaada wenu

Mwenye namba ya simu au Email address

Au namna yoyote tafadhalini nisaidieni mwenzenu

wewe ni jipu, amini nakuambia.
 
Ndugu zangu naombeni msaada wenu

Leo nilikuwa nalipia fomu Bodi ya mkopo
Kupitia ile njia ya OLA

Katika kujaza nimekosea mwaka Badala ya 2013 nikaweka 2016

Je nawezaje kubadili hii taarifa au ndiyo niandike maumivu?

Coz nimelipa Tsh 30,000/-
Je nilipe tena nyingine ama kuna namna ya kusahihisha nilichokosea?

Wakuu naombeni msaada wenu

Mwenye namba ya simu au Email address

Au namna yoyote tafadhalini nisaidieni mwenzenu

Amna usilipe tena wasiliana nao watakwambia cha kufanya wapigie cm.....
 
Ndugu zangu naombeni msaada wenu

Leo nilikuwa nalipia fomu Bodi ya mkopo
Kupitia ile njia ya OLA

Katika kujaza nimekosea mwaka Badala ya 2013 nikaweka 2016

Je nawezaje kubadili hii taarifa au ndiyo niandike maumivu?

Coz nimelipa Tsh 30,000/-
Je nilipe tena nyingine ama kuna namna ya kusahihisha nilichokosea?

Wakuu naombeni msaada wenu

Mwenye namba ya simu au Email address

Au namna yoyote tafadhalini nisaidieni mwenzenu
Nipe dondoo na tararibu za kulipa?
 
Ndugu wanajamvi hawa Bodi ya mikopo (HESLB) wanasikitisha sana.

Mimi ni mwanafunzi mwaka wa kwanza, mkopo wangu ulienda UDSM wakati mimi nimechaguliwa chuo kingine.Cha ajabu tokea nianze chuo huwa kuna utaratibu kila baada ya miezi miwili kupata pesa but mpaka sasa nimepata Mara moja tu ile Quarter ya pili ambayo ni Tsh 524,000.

Ile ya Quarter ya kwanza walidai ntaipata semester hii tukifungua.Sasa tumefungua chuo tangu Jumatatu but mimi niko Dodoma leo ndo nakuja Dar.

Leo nilimtuma jamaa yangu Bodi ya Mikopo na alinijibu kuwa ameambiwa bado UDSM hawajarudisha pesa zangu.Nimesikitika sana kwa majibu ya hao watu wa malipo second floor pale HESLB lakini nawaambia majibu hayo muda si mrefu yatawagharimu.

Mimi nina madeni makubwa nimekosana mpaka na rafiki ,ndugu zangu sababu kubwa wao kwa sababu nimekopa pesa sijawalipa. Mungu ni mwema na muda si mrefu watatumbuliwa tena natoa utabiri.

Idara ya malipo HESLB ni wavivu, wajuaji na wazembe.

Mkopo wako utaludishwa bodi mpka waakikishe wale wote ambao hawajalipoti chuoni ambao mliamia vyuo vingine...
Mkopo wako ukiludishwa bodi ndo utaletwa apo chuoni ulipo sasa.....wewe cha kufanya wasiliana na loan officer wa UDSM ili akupe muongozo kuwa lini majina yenu atayaludisha ili loan board ilete Mkopo apo chuoni ulipo sasa.....
 
Back
Top Bottom