DarProperty Tz
Senior Member
- Apr 24, 2011
- 168
- 29
kwa pamoja tunasikitika kutoa salamu hizi za rambirambi kwa jamii ya afrika na mashariki. imekuwa wiki ngumu na yenye majonvi kwa mataifa ya Tanzania hasa visiwa vya Zanzibar na Kenya mji wa Nairobi. kama sehemu ya jumuiya hii, majanga haya yametugusa sana.
Tumwomba Allah azilaze roho za waliotutangulia mahala pema peponi. Amina!
Timu ya Darproperty