Quinty
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 462
- 74
Tunamshukuru Mungu tumejaliwa kuuona mwaka mpya 2011. Tumwombe Mungu atujalie uzima wa mwili na roho na mafanikio mema kwa kila mwanajf na ndugu jamaa na marafiki zetu. Pia huu uwe mwaka mwingine wa kutoa na kuchangia hoja zenye nguvu, misingi na uelemishaji. Nawatakia heri ya mwaka nyote.