Tanui hillary
Member
- Jul 16, 2011
- 7
- 0
Nasalimu kila mmoja iliyehapa pokeeni salamu kutoka kenya tuko pamoja
Nilishakwambia kavae miwani, kwani kenya huwa hamjui kuyatofautisha majukwaa.Nasalimu kila mmoja iliyehapa pokeeni salamu kutoka kenya tuko pamoja
Poa sana mkuu, karibu na jisikie upo kakamega. tupo pamoja!Nasalimu kila mmoja iliyehapa pokeeni salamu kutoka kenya tuko pamoja
Habari za kenya? Karibu sana jamvini.Nasalimu kila mmoja iliyehapa pokeeni salamu kutoka kenya tuko pamoja
tuko salama mie niko eldoret mbele ya kericho kutoka nairobimkuu karibu sana jamvini, sasa JF inakuwa ya East Africa swafi sana! vii huko machakos, kisii na kericho wazima?
Nasalimu kila mmoja iliyehapa pokeeni salamu kutoka kenya tuko pamoja