Salamu toka tamil, sri lanka

MAKULUGA

JF-Expert Member
Jan 21, 2011
7,166
9,376
kWA MLIOZOEA KWENDA KWENDA ULAYA ,ARABUNI NA MAREKANI MWENZIO MI NIPO NATAFUTA DEAL TAMIL,SRI LANKA! HUKO MLIPOKUWA MNASIKIA TAMIL TIGERS ZAMANI KWA NAMNA NILIVYOPOKELEWA HATA SIKUULIZA KUWA HAO WAASI BADO WAPI AU LA!
hIYO SIYO ISSUE NI KWAMBA NIMEPENDWA NA WASICHANA 5 WA KITAMIL NA MIMI NIMEWATAMANI
KUMBE MAPENZI HAYAANGALII CULTURAL BARRIERS ....WATOTO HAWA WAMENIAMBIA KUWA WANATAKA NIRUDI NAO TANZANIA WAMECHOKA KUCHAGULIWA WACHUMBA NA WAZAZI WAO!
AMA KWELI UTANDAWAZI UMELETA NEEMA KWENYE MAHUSIANO ....NAANGALIA NA,MAN YA KUMSHAWISHI WIFE NICHUKUE MMOJA AMBAYE NIMEMTAMANI ZAID KWANI NI MWEUSI MNGAVU KAMA MUHAYA!
NAOMBENI USHAURI WENU WANA JAMVI!
 
Haaahaaaa! Mkuu unawajua vizuri hao viumbe? Kama umewatamanisha watano na una mpango wa kuchukua mmoja, naona hatari ya kulipuliwa. Halafu una kitendawili cha kumshawishi my wife wako! Wanalijua hilo?! Tamaa mbaya mkuu.
 
kWA MLIOZOEA KWENDA KWENDA ULAYA ,ARABUNI NA MAREKANI MWENZIO MI NIPO NATAFUTA DEAL TAMIL,SRI LANKA! HUKO MLIPOKUWA MNASIKIA TAMIL TIGERS ZAMANI KWA NAMNA NILIVYOPOKELEWA HATA SIKUULIZA KUWA HAO WAASI BADO WAPI AU LA!
hIYO SIYO ISSUE NI KWAMBA NIMEPENDWA NA WASICHANA 5 WA KITAMIL NA MIMI NIMEWATAMANI
KUMBE MAPENZI HAYAANGALII CULTURAL BARRIERS ....WATOTO HAWA WAMENIAMBIA KUWA WANATAKA NIRUDI NAO TANZANIA WAMECHOKA KUCHAGULIWA WACHUMBA NA WAZAZI WAO!
AMA KWELI UTANDAWAZI UMELETA NEEMA KWENYE MAHUSIANO ....NAANGALIA NA,MAN YA KUMSHAWISHI WIFE NICHUKUE MMOJA AMBAYE NIMEMTAMANI ZAID KWANI NI MWEUSI MNGAVU KAMA MUHAYA!
NAOMBENI USHAURI WENU WANA JAMVI!

Sri Lankans are very nice people.... you wont regret
 
we ulikuwa unataka kutujulisha tu kwamba upo sri lanka na unafreak na mademu wa kisrilanka,unauliza ushauri wakati umeshaamua kumchangua wazuri kati ya hao?
 
Maamuzi ya mwisho unayo mwenyewe mkuu,ila kwa ninavyowajua mimi wa-Sri lanka wanawake wao ni wachapa kazi na ndio walezi wa nyumba,kwa lugha nyingine wao ndio watafutajia katika familia,so kama huna katazo sio vibaya nakuunga mkono chukua jiko....lakini kwa kuwa uko Sri lanka hebu uliza utaratibu mzima wa kupewa mke maana niliyoyasikia mimi yanatisha kabla kupewa mke inabidi kuna kimila chao fulani lazima kifanyike kati yako na Baba mkwe hebu jaribu kuliulizia hili then tuletee hapa jamvini.
 
:A S-heart-2:[/F)

chukua wawili mmoja utaniletea mimi Broda, nitakulipa, habari za kunyoa, mavu..!si geti la chuma kitazama tu alafu kuna majileti na matopazi kibao hapa bongo, tutaki soften :))
 
OK, kumbe mlikuwa na siri kubwa sana na yule mfanya kazi wenu :A S shade:

Mfanyakazi gani huyo...kama hujui sema tukutoe ujinga. I came to know about this during my colleage , nilikuwa na dome mate wakitamil and I read it in one of the books.
 
Back
Top Bottom