Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
MMMhhhh! sie wa Tanga hivo vitu twaviweza sana tu!
kitu cha pweza tena...looh!
Sikuwa najwa we ni n'tu wa Tanga...Chuda Raha bana!
MMMhhhh! sie wa Tanga hivo vitu twaviweza sana tu!
kitu cha pweza tena...looh!
Masanilo afungiwe maisha!
Chuki binafsi!Masanilo afungiwe maisha!
mbona nahisi yeye yuko kati ya chama kimoja hapo?Akimaliza kifungo aende rehab kwa miezi mingine sita. Hapo atakuwa kasahau kabisa bangi, mirungi na gongo.
Na akirudi tumeshatunga katiba mpya na chadema itakuwa imeshaunga na CUF, TPL na NCR Mageuzi.
Rest in jela.
Masanilo afungiwe maisha!
Nasema hivi, mtukanaji, anayekiuka maadili ya kiTanzania, Masanilo afungiwe maisha. I suggest perment server ban kwa msioelewa kiswahili.
Kutokana na kuonyesha nidhamu ya hali ya juu akiwa jela uongozi husika utamfikiria kumpunguzia kifungo mafisadi wanachekelea saizi
bora kwani hamna mtu anaye pendamwenzie awe kifungoni au vipi masela.
Acha chuki binafsi, kwa taarifa yako kifungo karibu kinaisha anarudi kuendeleza libeneke
LOL! Fidel80 hahahahahahahaha mwambie juhudi kali zilifanywa huku ili apunguziwe adhabu yake lakini hakukuwa na mafanikio. Mwambie anasubiriwa kwa hamu kwenye majukwaa mengi ambayo yeye ni mchangiaji wa kila siku.