WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Nilikuwa najaribu kufanya ukaguzi wa Avatar yako
kama umemaliza nipe findings,maana mi zangu nilikupa na tukapatia na soln
Nilikuwa najaribu kufanya ukaguzi wa Avatar yako
HILI location ako ni church eeh?................wasiwasi wangu ni kama uko salama maana kwa zile staili zake nahisi umetenguka hasa anapoacha mdomo wazi!
nipe bia nikupe pesa leta chumba nikupe guest.......Aisee unasalimiwa na Mama Big
MhmhMH...EBU nipeni mawani,ya lensi mbinuko
Mh mdomo wazi? Ngoja kwanza..wasiwasi wangu ni kama uko salama maana kwa zile staili zake nahisi umetenguka hasa anapoacha mdomo wazi!
ha ha ha ha!nipe bia nikupe pesa leta chumba nikupe guest.......
This message has been deleted by Wiselady.
Uliandika nini hapa mpenzi wangu?
Wakikusikia wenyewe wakubwa......
HILI location ako ni church eeh?................
kule ni wapi?.........mama big angetafsiri kuwa hapa mbele na kule nyuma.kuna zawadi nilikutumia hapo nikaona finest na mwenzie kaizer wanaweza kuichakachua ntakupa kuleeeeee
The beauty of GOD is beyond description:lol:Imekuwaje umeingia uvunguni mwa watu bila kubisha hodi?
Mh mdomo wazi? Ngoja kwanza..
hivo eeeeeeeeeeeeeeeeeeehhh!?Baba Gift usijali huwa tuna mbinu nyingi za kuleta watu church mpenzi
kule ni wapi?.........mama big angetafsiri kuwa hapa mbele na kule nyuma.
Sasa ndo unataka kuharibu mpango mzima, inakuwaje unamwaga razi hazarani?
hebu eleza, mpenzi ni kivumishi au kishawishi? bab gift ni mpenzi au mpenzi ni baba gift? mbinu ni za kimapenzi au mapenzi ni mbinu?Baba Gift usijali huwa tuna mbinu nyingi za kuleta watu church mpenzi