Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Ah wamejiunga hapa nackia Dovutwa hapa nazima tv ngoja nikazimue kwanza..Smile? Yuko bize na Dr. Slaa wanapinga matokeo.
Ah wamejiunga hapa nackia Dovutwa hapa nazima tv ngoja nikazimue kwanza..Smile? Yuko bize na Dr. Slaa wanapinga matokeo.
Kwa kiswahili hapo lady the wise ungesemaje vile?
wenzio tumehitimu shule ya msingi ujamaa darasa la saba B.
Hahaha Katibu weka kwenye ajenda hii..we need limitation rule no 3Hivi hii sentensi kizuri kula na nduguyo....haina limitations?
Kama ni hivyo ntamwomba mwenyekiti tuiangalie upya hii kitu. Kuna vitu vingine hapana bana!
ASPRIN bana,usichoelewa ni nini hapo! ok ok,tafsiri yake halisi ni"Nakupenda sana"
Mama big a.k.a Da Sophy version 2 ni mwanachama hai wa ISC. Katibu cheki kumbukumbu zako vizuri.
kumbe! mi nilidhani ni twin wake kumbe ni original da sophy!new version ina kasi kweli cjui kama mtaimudu
Tatizo kuna mijitu huku itanionea wivu. Kwanini hukuniambia thruu PM?
Anyway, kamata hii hapo chini kwa sasa, halafu kagua inbox yako kule.
Kagua PM yako hapa nimeweka msisitizo tu,ila na wewe usinihurt tena kama kipindi kile
pm mbaya sana aisee!....Sasa mbona hujibu PM yangu?
Halafu uchaguzi ushaisha, mbona invizibo haturudishii chat room yetu? PM zina delay mambo bana.
hivi wewe ni nani vile....?Tatizo kuna mijitu huku itanionea wivu. Kwanini hukuniambia thruu PM?
Anyway, kamata hii hapo chini kwa sasa, halafu kagua inbox yako kule.
Kagua PM yako hapa nimeweka msisitizo tu,ila na wewe usinihurt tena kama kipindi kile
wiselady eeh?
ok i hear you now... ngoja nimtafute da sophy, nimemisi maneno yake ya shomboSmile? Yuko bize na Dr. Slaa wanapinga matokeo.
Sasa mbona hujibu PM yangu?
Halafu uchaguzi ushaisha, mbona invizibo haturudishii chat room yetu? PM zina delay mambo bana.
ok i hear you now... Ngoja nimtafute da sophy, nimemisi maneno yake ya shombo
kumbe! mi nilidhani ni twin wake kumbe ni original da sophy!new version ina kasi kweli cjui kama mtaimudu
Ukimkosa kuna "twin" wake anaitwa mama Big.
Aisee unasalimiwa na Mama Big
Mh mara hii na Mama Big!taratibu lkn maana ana kasi ya ajabu mulize kaizer amemfanya nini