beibe nasty
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 1,640
- 523
- Thread starter
- #21
Yes diya naishi mza wasi wasi wa nin jamanNina wasiwasi Beibe nasty waishi Mwanza eeh
Yes diya naishi mza wasi wasi wa nin jamanNina wasiwasi Beibe nasty waishi Mwanza eeh
Nilitaka nikusalimie kwa busu leo (nikusapraiz)Mimi nimepiga mswaki mara nne lakini bado mdomo unanuka, nawahi kwa dentisti. Niombeeni
Mimi naumwa mpenzi........
Nilitaka nikusalimie kwa busu leo (nikusapraiz)
Ila kwa mtindo huu wacha upewe mkono tu
Majibu pliiiz dear doc kasemaje?Mimi nimepiga mswaki mara nne lakini bado mdomo unanuka, nawahi kwa dentisti. Niombeeni
Mie niko poa kabisa, hapa bado nipo kitandani najiliwaza mwenyewe na ki simu changu sijui nitaamka saa ngapi na hiki kijiubaridi!! Lol
Deskmate usicancel hako ka offer, tayari nimerudi na nimefanya saliva transplant. Fanya ukuje kusibitisha mwenyewe bila kuhadisiwaNilitaka nikusalimie kwa busu leo (nikusapraiz)
Ila kwa mtindo huu wacha upewe mkono tu
Dentisti amesema itakuwa ni bakteria wanaopatikana kwenye kiporo ndio wamesababisha. Manaake bakteria wanaopatikana kwenye kiporo wanakuwa hawakufi kwa kolgeti.Majibu pliiiz dear doc kasemaje?
we niaje?KUMBATO apate Bagah kuridhika uridhike wewe!khaa!au you are bluetooth connected to Bagah?
Dentisti amesema itakuwa ni bakteria wanaopatikana kwenye kiporo ndio wamesababisha. Manaake bakteria wanaopatikana kwenye kiporo wanakuwa hawakufi kwa kolgeti.
Aiiy Kipipi weweee! Achaga basi kutufanya sie watu wazima hapa Jamvini tu-macho ya Nazi ! Kujifanya mparokia kwa sana!
Ulale peke yako na umri huo ?
Haiyumkini !
Lakini !
Sijui !
Labda !
yep sasa niko fiti, nimekaa mkao wa kula nasubilia zali la mwaliSo u well nw haya mwali where are u? Busu kwa klorokwin pliiiz
Mpenzi wangu nizimike wapi mama sema nilichelewa lala n mewahi amka aisee haya leo unapuyangia wapi mto wa k ya bwiruu
hahahah mr judge bana, mie bado mparokia mpaka leo kwani kinashindikana nini mpendwa wangu?? Umri sio tija bana, hilo jicho lako la tatu lifumbe kabisa litakupoteza!!
pole mamito,leo nlikuwa busy hta cjamalza issue nlizopanga kufanya leo. nimechoka mbaya. ndo narud zangu hm nkajikumbatie!
Thank u bishanga hakuna cha penzi kuitikahujambo b nasty? pole na maumivu ya kichwa,vipi au penzi limeitika?
Kama nataka dangnya , dangnya ile totolac ! ile toto dogo bado nakunwya cowbell bhanaa!
Apa iko ile mutu kuba ! Sura yao nakusajaa kunyanzi ! (soma kwa lafdhi ya kidosi )