Mmoja ni mke wa Rais Dr. Kikwete na mwingine ni mke wa mwanasiasa mmoja huko Marekani anaitwa Baraka Obama
Kwa hiyo Dr Kikwete sio mwanasiasa na pia Barack Obama sio Rais?
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja ni mke wa Rais Dr. Kikwete na mwingine ni mke wa mwanasiasa mmoja huko Marekani anaitwa Baraka Obama
mzalendo mtanganyikazomba ni mzanzibari na uamsho sio makosa yake kukujibu pia hiyo ID yako inamchefua zomba ni mdini so sio ajabu kutetea hiyo hali ilhali anajua huo ni upumbavu mkubwa uliopo kwenye kichwa chahuyo mama,sasa kama kukanyaga udongo shida atamchamba mtoto kweli huyo du.ndugu yangu zomba uwe unasoma kwa umakini bas,,,,,,,,kuna neno MFUMO nimelisema sana.........the system at work ndo ya kiaina, asa huelewi nini mpaka wajibu kiselasela tu,,,,,mfano hai umeoneshwa hapo..............tujibu hoja co maneno ya sokoni
Naona mnajaribu 'kulinganisha' 'visivyolingana'!
Mmoja nafanya ubishoo na mwingine yuko kazini.Mmoja ni mke wa Rais Dr. Kikwete na mwingine ni mke wa mwanasiasa mmoja huko Marekani anaitwa Baraka Obama
Kwa hiyo Dr Kikwete sio mwanasiasa na pia Barack Obama sio Rais?
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Umeshaamua kwenda shambani ukubali kuchafuka...!!! Big up michele obama....
Sijawahi ona mtu analima huku ametandikiwa mkeka....!! Umbumbuwazi....
Umeona ee FirstLady1? Ndo wabongo tulivyo, juzi juzi alikuwa anapanda daladala kwenda shule ya msingi kufundisha, leo hii anasafiri na ving'ora na kuhisi hajawahi kukanyaga udongo? Hivi akienda kule kijijini kwao Singida vijijini anafanya aje? Anyway sipendi kuongelea mtu binafsi!!!!Mmoja ana mambo kama ya mme wake atandikiwe mkeka ndo aweze kufanya kazi za kijamii asichafuke
Mwenzie mama Obama ni picha ya ukweli na anafanya kitendo cha kujitolea kiukweli.. ndo maana haangalia vumbi wala udongo.
yaani sisi mmh!
Hii inamaanisha kwamba, Ombaomba wanaishi kama matajiri na Matajiri wanaishi kimasikini.
Mke wa rais, Salma Kikwete akimwagilia maji mti alipotembelea kituo cha kulea watoto cha SOS jijini Dar Es Salaam. Kinachogomba ni huyu mama kuwekewa mkeka kusimamia ili kumwagilia maji. Inashangaza viongozi wetu na wake zao wanavyoogopa udongo ilhali wametokea huko. Na isitoshe utajiri wanaochuma toka kwetu unatokana na udongo huu huu. Je huu ni mfano gani kwa vijana wetu kuhusu kupenda udongo na kufanya kazi za mikono? Ajabu huyu ni mke wa mtu anayejigamba kutetea sera yake ya Kilimo Kwanza. Hapa ni Kilimo Kwanza au Usafi Kwanza? Hivi nani anawashauri watawala wa namna hii ambao wnaishi kwenye Alinacha na dunia feki? Kwanini hawakujifunza kwa watawala walioonja chungu ya kuishi kwa kujidanganya kama Muamar Gaddafii ambaye hakuwa akijua kuwa walibya walikuwa wakimchukia hadi kumuu kwa kipigo kama mwizi? Nisaidieni jamani.