afadhali sijawahi kukiangalia hicho kipindi
nilitaka kuuliza pia,,,salama jabir ndo nani??
huu ndo ubaya wa kutumia watu unprofessional kama yeye....shame on her...but tusimlaumu sana coz it seems hadhira yake ndo inachokitaka...thanks God nilipoona jina la kipind first time wakat wa ku lauch hiko kipindi...nilishajivua kuwa mmoja wa fans...aftr oll hata DIAMOND MWENYEW NI CHEAP......unawezaje kuulizwa maswal kama hayo na mtu ambaye anakwenda haja ndogo akiwa amechchumaaa?Tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha MKASI kinachorushwa na kituo cha East Africa TV. Jumatatu akiwa anamhoji msanii Diamond, Salama Jabir alimuuliza msanii huyo, KWA MARA YA MWISHO UME-SEX LINI? Ikiwa hiyo haitoshi, akamuuliza HUWA UNATUMIA CONDOM AINA GANI? Pia, akamwamwambia NASIKIA UMEBARIKIWA KAMA PUNDA,,,,,NDIO MAANA WANAWAKE WENGI WANAKUFUATA,,,,,
Nilijiuliza maswali yafuatayo:
1. Inakuwaje Salama aulize maswali hayo bila kutumia tafsida?
2. Kipindi hiki ambacho hurushwa wakati wa prime time, muda ambao familia nyingi huwa (sitting room) nyumbani,
inakuwaje baba, mama na mtoto ambao walisikia kwa pamoja maswali hayo?
3. Lengo la Salama lilikuwa ni nini?
4. Kwanini tunakubali mila na desturi zetu kuziharibu namna hii kwa kuiga uzungu?
Tunakupenda, tunapenda ubunifu wako, tunathamini kipaji chako,,,,lakini tunakuomba ubadilike
karibu ulimwengu wa lucifer....hiyo ni kawaida, si chanel ya vijana!halafu jina la kipindi linajieleza,mkasi! So sio ishu.....
Tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha MKASI kinachorushwa na kituo cha East Africa TV. Jumatatu akiwa anamhoji msanii Diamond, Salama Jabir alimuuliza msanii huyo, KWA MARA YA MWISHO UME-SEX LINI? Ikiwa hiyo haitoshi, akamuuliza HUWA UNATUMIA CONDOM AINA GANI? Pia, akamwamwambia NASIKIA UMEBARIKIWA KAMA PUNDA,,,,,NDIO MAANA WANAWAKE WENGI WANAKUFUATA,,,,,
Nilijiuliza maswali yafuatayo:
1. Inakuwaje Salama aulize maswali hayo bila kutumia tafsida?
2. Kipindi hiki ambacho hurushwa wakati wa prime time, muda ambao familia nyingi huwa (sitting room) nyumbani,
inakuwaje baba, mama na mtoto ambao walisikia kwa pamoja maswali hayo?
3. Lengo la Salama lilikuwa ni nini?
4. Kwanini tunakubali mila na desturi zetu kuziharibu namna hii kwa kuiga uzungu?
Tunakupenda, tunapenda ubunifu wako, tunathamini kipaji chako,,,,lakini tunakuomba ubadilike
mkasi ndo kipindi gani,kinaonyeshwa na aljazeera au
tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha mkasi kinachorushwa na kituo cha east africa tv. Jumatatu akiwa anamhoji msanii diamond, salama jabir alimuuliza msanii huyo, kwa mara ya mwisho ume-sex lini? Ikiwa hiyo haitoshi, akamuuliza huwa unatumia condom aina gani? Pia, akamwamwambia nasikia umebarikiwa kama punda,,,,,ndio maana wanawake wengi wanakufuata,,,,,
nilijiuliza maswali yafuatayo:
1. Inakuwaje salama aulize maswali hayo bila kutumia tafsida?
2. Kipindi hiki ambacho hurushwa wakati wa prime time, muda ambao familia nyingi huwa (sitting room) nyumbani,
inakuwaje baba, mama na mtoto ambao walisikia kwa pamoja maswali hayo?
3. Lengo la salama lilikuwa ni nini?
4. Kwanini tunakubali mila na desturi zetu kuziharibu namna hii kwa kuiga uzungu?
Tunakupenda, tunapenda ubunifu wako, tunathamini kipaji chako,,,,lakini tunakuomba ubadilike
Naomba niwe mkweli tu kwenye
hili, clouds tv kwangu ni scrambled channel, Tbc hii channel niliispare
kwa ajili ya tamthilia ya La Revenge tu, Mkasi hicho kipindi huwa
kinanikuta accidetaly tu tena kikiwa katikati, sijawai kuona la maana
zaidi ya kuoshana miguu na kukata kucha, nilisikitika sana kumuona Aden
Rage naye akiwa ni miongoni mwa washiriki wa ujinga huo.
But all in all Salama ana kipaji kizuri sana ila nadhani apunguze bangi
na akubali kama yeye ni mtoto wa kike. Atajifanya msela sana na kauzu
zaidi ya dagaa lakini mwisho wa sikuu akikojowa ni lazima
achuchumae.
Sio lazima,anaweza akasimama na mkojo ukatoka pia!
Watanzania bana kwa kulalamika, sasa unataka tafsida gani zaidi ya hapa? Usitake kuipa TV kazi ya kulea wanao.