Greater thinker
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 286
- 38
mwanadada msela ambaye ana miaka takriban 15 hajawahi kuvaa sketi na ambaye altksa sana 2000's na show yake ya planet bongo on ea.tv & radio na baadae kutoweka na kwnda uingereza kuongeza elimu yake na kumwachia kpnd chake abdallah hamis ambua..
Pia mwanadada huyo anatesa sana kwa u-judge makn ktk shndano la bss,sasa hv ameamua kurud kuwa mtangazaj ndan ya e.a tv na show itakayoitwa mkasi tv ambayo itaanza kurushwa cku ya juma3 ya tar 14..
Show hyo itakuwa kila siku ya juma 3 saa tatu na nusu usiku...yoo
Pia mwanadada huyo anatesa sana kwa u-judge makn ktk shndano la bss,sasa hv ameamua kurud kuwa mtangazaj ndan ya e.a tv na show itakayoitwa mkasi tv ambayo itaanza kurushwa cku ya juma3 ya tar 14..
Show hyo itakuwa kila siku ya juma 3 saa tatu na nusu usiku...yoo