Sadaka huanza nyumbani nami naanza humu kunyumba JF!
Dada zangu nina salamu kutoka kwa jamaa kutoka Amerika ya kusini. Msishangae! Nilikuwa Balozi wenu wa kutangaza sifa njema moja ya wanadada wa Bongo. Jamaa alishangaa sana kuwa duniani kuna wanadada wenye sifa kama hiyo. Namna alivyovutiwa aliniahidi atakapotaka kuowa basi atawasiliana nami ili aje apate dada yangu mmoja.
Naamini mtaniunga mkono kuwa kweli sifa hiyo dada zangu wanayo!
Dada zangu nina salamu kutoka kwa jamaa kutoka Amerika ya kusini. Msishangae! Nilikuwa Balozi wenu wa kutangaza sifa njema moja ya wanadada wa Bongo. Jamaa alishangaa sana kuwa duniani kuna wanadada wenye sifa kama hiyo. Namna alivyovutiwa aliniahidi atakapotaka kuowa basi atawasiliana nami ili aje apate dada yangu mmoja.
Naamini mtaniunga mkono kuwa kweli sifa hiyo dada zangu wanayo!