Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Nawatakia wachagga wote maandalisi mema ya x-mas tukutane MOSHI kuhesabiwa. Salamu sangu za x-mas natuma kwa, Maruwa, Nkya, kiwia, Mawalla, Masawe, Mangi, Mushi, Mamuya, Mosha,Muro, Marialle, Manka, Keku, Shirima, lyimo, Ngowi,Lyatuu,Temba,Munuo, Mtei, Mmary,Kirumbuyo, Mkonyi, Tarimo,Malisa, Matemba, Munisi, Mbonika,Maleko,Mselle, Msale, Shayo, Nyange, Munishi, Lema, Lauwo, Kessy, Mtuy, Kisomo, Moshy, Kisoka, Kessy, Mkonyi,Sillayo,Male,Mlay,Lauwo,Tairo,Mrosso,Shoo,Maeda,Swai,MaKauki,Shayo,Kimaro,Soka,Mkenda,Makundi,Mangesho,Tilya,Kinabo, Mtei, Ulomi,Njau, Sirili, Matteru, Minja, Kiwali, Maro, Ndossy, Kway,Meela, Mallya,Ndanshau, Shio, Assenga,Moshi na Macha na watani zetu waparis.
Ujumbe wetu ni ....tudumishe mila se.. mila setu..........na safari hii ndugu sangu tafasalini hakuna ki kisingsio eti, vijana wa Majembe wanafanya kasi sio msesho, nauli sitakuwa kama bure kabisa, hapo mpo jamani.....??? eka nka mwali, eka mbeee
Ujumbe wetu ni ....tudumishe mila se.. mila setu..........na safari hii ndugu sangu tafasalini hakuna ki kisingsio eti, vijana wa Majembe wanafanya kasi sio msesho, nauli sitakuwa kama bure kabisa, hapo mpo jamani.....??? eka nka mwali, eka mbeee