Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,062
- 79,089
- Thread starter
- #21
kuna swala linaitwa "nepotism" ukiweza kujua uhusiano wa neno hili na "parochial politics" na na uhusiano na whole idea of "impunity"! unaweza kuwa na serious discussion nami! Pia jaribu kuangalia the whole issue of "Good Governance" with case studies in Africa halafu ndio urudi hapa! huwezi kuniambia hakuna replacement wake huyo unayemtetea ndani ya CHADEMA! kiufupi nakupa mfano mmoja recently, angalia katika wale wabunge kumi waliogoma kutoka nje watu watatu wa familia moja ni miongoni mwao, sasa sijui kama that was individual au collective decision as a family, na where are the interests of the party stands! Na pls usisahau ninacholalamika mimi ni ubaguzi na kuhodhi madaraka huko kunakoendelea CHADEMA ilikuwapo hata kabla ya huyo unayeongea hajajiunga nayo na hata kama alikuwapo kama mwanzilishi haina maana ya kuwa so and so apewe nafasi zilizopo zaidi nafasi zigawie strategically and on merit with a view of the future of the party!asante sana GEZA ULOLE kwa source na nimekubaliana na wewe kuhusu uhusiano wake na ndesamburo lakini swali langu la msingi
ambalo nilisisitiza kwamba hata kama alikuwa mtoto wa ndesa hiyo siyo hoja ya msingi bali tunatakiwa kuangalia uwezo wake na michango ndani ya chama kwa SOURCE uliyotuma anaonekana ana elimu nzuri tu na anaonekana ni mtu anayefanya homework kisawa sawa kulingana na upeo wa maelezo yake kuhusiana na issue za viwanda lakini la misingi zaidi pia alijiunga na chama lini, michango yake ndani ya chama na SIYO ISSUE YA NANI AU MTOTO WA NANI ??