Mawazo-Hai
Member
- Jul 31, 2012
- 13
- 5
Nimekuwa mfuatiliaji wa JF kwa miaka kadhaa lakini nimeamua kujiunga leo. Nimeona ni utamaduni mzuri kusalimia kwanza kabla sijachangia jambo lolote. Nawatakia siku njema.
MD
MD
Nimekuwa mfuatiliaji wa JF kwa miaka kadhaa lakini nimeamua kujiunga leo. Nimeona ni utamaduni mzuri kusalimia kwanza kabla sijachangia jambo lolote. Nawatakia siku njema.
MD
Karibu kiongozi ! Bt itakulazimu umtafute mtu mmoja hapa wanamwita Kongosho, ndy atakuonyesha chochoro zote za humu.
halafu inabidi apate online wife.