Hakufanya la maana zaidi ya kupandikiza chuki tu kati ya Wapemba na Waunguja. na kati ya Wazanzibari na ndugu zao wa-Bara.Ni mkosoaji mkubwa (mlalamikaji)kuhusu Muungano lakini hakuna lolote analoeleza kuhusu kuboresha Muungano huo.Mkuu,
Bila kukuwekeni wasiwasi, FMES yuko sawa kabisa! huyu Sief - HAFAI!.. hafai hata kwa kulumangia kwa sababu huyu mtu ni pandikizi tu..CUF ni chama bora zaidi bila mtu huyu..
Kila siku anapozidisha matatizo kati ya bara na Visiwani ndivyo anavyowapa CCM support na nguvu ya kuzua sababu za kuendelea kushika madaraka kwa nguvu, wakidai kwamba kuna watu kama Sief wanaotaka kutugawanya...Vyama vya Upinzani havijengi uadui kati yao na chama tawala au kiongozi aliyeko madarakani, siasa haiwezi kwenda hivyo hata kidogo....What if Kikwete angekuwa CUF haya maneno bado yangemtoka..
Trust me, maneno ya Kikwete hayagawi watu zaidi ya hayo ya Seif kwa sababu Kikwete amezungumza kisiasa kwa kuvitumia vyama..Siasa ni mchezoi mchafu lakini una wigo lake hautoki nje ya hapo..na hii ni ruksa kisiasa lakini mjinga huyu kaingia na gear ya kuzungumzia mtu yaani Kikwete mwenyewe! imekuwa swala la personal kati yao wakati hakuna mahala Kikwete amemtaja Sief kwa jina wala ujinga wa nani mzee wa siasa kati yao.
Historia ya Zanzibar haihitaji Sief kuizungumzia zaidi ya Wazanzibar wenyewe kuifahamu kutokana na maisha yao ya kila siku..Wazanzibar walipigania haki hizi toka Sief akiwa CCM, kama waziri Kiongozi na waziri wa Elimu.. kujiunga kwake CUF haku jabadilisha matakwa ya wananchi na kama kweli anaijua vizuri Zanzibar namwomba yeye atueleze aliweza kufanikisha kitu gani akiwa kiongozi na mwanachama wa CCM.. maanake hapo ndipo tunaweza kumpima ubora wake..
Nakumbuka swali hili aliwahi kuulizwa na akashindwa kulijibu sasa narudia tena atwambie au nyie mnaomjua vizuri Sief na ubora wake twambieni mazuri alowahi kuyafanya kwa Wazanzibar akiwa Waziri kiongozi au waziri wa Elimu?...