Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Habarini wenzangu nashukuru mwenyezzii MUNGU kwa kutulinda mpaka hapa tulipo leo hii si haba kukumbushana wenzangu vyema kabla ujaanza mamombi yako ya shukran na kumwomba mola haja zake basi ukumbuke kusali SALA YA TOBA
Hii inasaidia Mungu kuwa karibu zaidi na wewe hasa ukiwa safi na ukiwa umekiri kwamba YESU ni Bwana\najua wwaweza kuuliza ni ipi??zipo sala mbalimbali lakini si mbaya ukiwa busy kumbuka sala ifuatayo
KATIKA JINA LA YESU ,JINA LA UTUKUFU LA YESU KRISTO WA NAZARETI ,BABA WA MBINGUNI ,NINAKUJA KWAKO KWA NJIA YA YESU KRISTO NA KWA UWEZA WA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU,NINAZIUNGAMA DHAMBI ZANGU ZOTE NAMI NILIZOTENDA KWA KUFAHAMU AMA KUTOFAHAMU KWA MAWAZO ,MANENO MATENDO ,NINAZIACHA DHAMBI HIZI ZOTE NAMI NINAAHIDI KWAMBA SITARUDIA TENA
YESU KKRISTO NINAKUPOKEA KWA UPYA KATIKA MAISHA YANGU KUWA BWANA WANGU NA MWOKOZI WANGU.INGIA KATIKA MAISHA YANGU SASA,ANDIKA JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA,NIPE NEEMA YA KUWA MWAMINIFU HATAA MWISHO KUPITIA MWANAO YESU KRISTO ANAZARETI
AMEN
SALI SALA HII KABLA YA KULALA MUNGU AKUBARIKI
Hii inasaidia Mungu kuwa karibu zaidi na wewe hasa ukiwa safi na ukiwa umekiri kwamba YESU ni Bwana\najua wwaweza kuuliza ni ipi??zipo sala mbalimbali lakini si mbaya ukiwa busy kumbuka sala ifuatayo
KATIKA JINA LA YESU ,JINA LA UTUKUFU LA YESU KRISTO WA NAZARETI ,BABA WA MBINGUNI ,NINAKUJA KWAKO KWA NJIA YA YESU KRISTO NA KWA UWEZA WA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU,NINAZIUNGAMA DHAMBI ZANGU ZOTE NAMI NILIZOTENDA KWA KUFAHAMU AMA KUTOFAHAMU KWA MAWAZO ,MANENO MATENDO ,NINAZIACHA DHAMBI HIZI ZOTE NAMI NINAAHIDI KWAMBA SITARUDIA TENA
YESU KKRISTO NINAKUPOKEA KWA UPYA KATIKA MAISHA YANGU KUWA BWANA WANGU NA MWOKOZI WANGU.INGIA KATIKA MAISHA YANGU SASA,ANDIKA JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA,NIPE NEEMA YA KUWA MWAMINIFU HATAA MWISHO KUPITIA MWANAO YESU KRISTO ANAZARETI
AMEN
SALI SALA HII KABLA YA KULALA MUNGU AKUBARIKI