Sala ya toba

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Habarini wenzangu nashukuru mwenyezzii MUNGU kwa kutulinda mpaka hapa tulipo leo hii si haba kukumbushana wenzangu vyema kabla ujaanza mamombi yako ya shukran na kumwomba mola haja zake basi ukumbuke kusali SALA YA TOBA
Hii inasaidia Mungu kuwa karibu zaidi na wewe hasa ukiwa safi na ukiwa umekiri kwamba YESU ni Bwana\najua wwaweza kuuliza ni ipi??zipo sala mbalimbali lakini si mbaya ukiwa busy kumbuka sala ifuatayo

KATIKA JINA LA YESU ,JINA LA UTUKUFU LA YESU KRISTO WA NAZARETI ,BABA WA MBINGUNI ,NINAKUJA KWAKO KWA NJIA YA YESU KRISTO NA KWA UWEZA WA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU,NINAZIUNGAMA DHAMBI ZANGU ZOTE NAMI NILIZOTENDA KWA KUFAHAMU AMA KUTOFAHAMU KWA MAWAZO ,MANENO MATENDO ,NINAZIACHA DHAMBI HIZI ZOTE NAMI NINAAHIDI KWAMBA SITARUDIA TENA

YESU KKRISTO NINAKUPOKEA KWA UPYA KATIKA MAISHA YANGU KUWA BWANA WANGU NA MWOKOZI WANGU.INGIA KATIKA MAISHA YANGU SASA,ANDIKA JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA,NIPE NEEMA YA KUWA MWAMINIFU HATAA MWISHO KUPITIA MWANAO YESU KRISTO ANAZARETI

AMEN

SALI SALA HII KABLA YA KULALA MUNGU AKUBARIKI
 
amen mkuu uwezi amini ni watu wangapi watakuwa wameungama na kuokoka japo kwa mda huo tu watakaosoma mana ni sala ya toba ata kimya watakuwa wameungama dhambi zao

shika neno tenda neno
 
Tuwapostie CCM nao waugame pamoja na mafisadi wao.
 
Tuwapostie CCM nao waugame pamoja na mafisadi wao.

jitahidi kujikomboa wewe mwenyewe kwanza ndipo ukaombe ccm wakombolewe...yawezekana dk za mwisho wana mafisadi wakauona ufalme wa mungu kwa toba yao huku ukisubiir toba
Ubarikiwe
 
Habarini wenzangu nashukuru mwenyezzii MUNGU kwa kutulinda mpaka hapa tulipo leo hii si haba kukumbushana wenzangu vyema kabla ujaanza mamombi yako ya shukran na kumwomba mola haja zake basi ukumbuke kusali SALA YA TOBA
Hii inasaidia Mungu kuwa karibu zaidi na wewe hasa ukiwa safi na ukiwa umekiri kwamba YESU ni Bwana\najua wwaweza kuuliza ni ipi??zipo sala mbalimbali lakini si mbaya ukiwa busy kumbuka sala ifuatayo

KATIKA JINA LA YESU ,JINA LA UTUKUFU LA YESU KRISTO WA NAZARETI ,BABA WA MBINGUNI ,NINAKUJA KWAKO KWA NJIA YA YESU KRISTO NA KWA UWEZA WA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU,NINAZIUNGAMA DHAMBI ZANGU ZOTE NAMI NILIZOTENDA KWA KUFAHAMU AMA KUTOFAHAMU KWA MAWAZO ,MANENO MATENDO ,NINAZIACHA DHAMBI HIZI ZOTE NAMI NINAAHIDI KWAMBA SITARUDIA TENA

YESU KKRISTO NINAKUPOKEA KWA UPYA KATIKA MAISHA YANGU KUWA BWANA WANGU NA MWOKOZI WANGU.INGIA KATIKA MAISHA YANGU SASA,ANDIKA JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA,NIPE NEEMA YA KUWA MWAMINIFU HATAA MWISHO KUPITIA MWANAO YESU KRISTO ANAZARETI

AMEN

SALI SALA HII KABLA YA KULALA MUNGU AKUBARIKI

Safi
 
Ni safi sana mkuu ikiwa kama sala ya toba itatoka kwenye moyo wa mdhambi. Lakini kama ni kitu cha kuongozwa kukariri inabakia kuwa liturugia. Na ndivyo wengi wanavyofanya siku hizi. Mdhambi yeyote anafahamu makosa yake yote na ikiwa atajaliwa kumrejelea muumba wake ataungama maovu yake kwa Mungu huku akimaanisha na wala sii kumuungamia binadamu mwenzake. Kuna tofauti kati ya mtu anaeungama maovu yake kwa Mungu na watu kuombana msamaha kwa makosa waliokoseana wao kwa wao.
 
Habarini wenzangu nashukuru mwenyezzii MUNGU kwa kutulinda mpaka hapa tulipo leo hii si haba kukumbushana wenzangu vyema kabla ujaanza mamombi yako ya shukran na kumwomba mola haja zake basi ukumbuke kusali SALA YA TOBA
Hii inasaidia Mungu kuwa karibu zaidi na wewe hasa ukiwa safi na ukiwa umekiri kwamba YESU ni Bwana\najua wwaweza kuuliza ni ipi??zipo sala mbalimbali lakini si mbaya ukiwa busy kumbuka sala ifuatayo

KATIKA JINA LA YESU ,JINA LA UTUKUFU LA YESU KRISTO WA NAZARETI ,BABA WA MBINGUNI ,NINAKUJA KWAKO KWA NJIA YA YESU KRISTO NA KWA UWEZA WA NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU,NINAZIUNGAMA DHAMBI ZANGU ZOTE NAMI NILIZOTENDA KWA KUFAHAMU AMA KUTOFAHAMU KWA MAWAZO ,MANENO MATENDO ,NINAZIACHA DHAMBI HIZI ZOTE NAMI NINAAHIDI KWAMBA SITARUDIA TENA

YESU KKRISTO NINAKUPOKEA KWA UPYA KATIKA MAISHA YANGU KUWA BWANA WANGU NA MWOKOZI WANGU.INGIA KATIKA MAISHA YANGU SASA,ANDIKA JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA,NIPE NEEMA YA KUWA MWAMINIFU HATAA MWISHO KUPITIA MWANAO YESU KRISTO ANAZARETI

AMEN

SALI SALA HII KABLA YA KULALA MUNGU AKUBARIKI

Sometimes I wonder kama kweli ninyi ni washa.biki wa Dr Slaa ama ni walewale tu??? Haiwezekani kuwa wajinga kiasi hicho cha kujipiga risasi miguuni wakati mkiwa mwishoni mwa mbio za marathoni..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom