KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
View attachment 13443View attachment 13444
Huyo kisura anatakiwa apondwe mawe huko Iran hadi kufa, baada ya mfungo wa Ramadhani.
Oooh!! God.:A S cry:ray2::amen:
Mambo ya imani nyingine bwana, me nashindwa kuelewa!
Many hadith, including Sahih Bukhari give proof that Stoning was ordered and practiced by Muhammed, for example:
Volume 2, Book 23, Number 413:
Narrated 'Abdullah bin 'Umar :
The Jew brought to the Prophet a man and a woman from amongst them who have committed (adultery) illegal sexual intercourse. He ordered both of them to be stoned (to death), near the place of offering the funeral prayers beside the mosque."
View attachment 13443View attachment 13444
Huyo kisura anatakiwa apondwe mawe huko Iran hadi kufa, baada ya mfungo wa Ramadhani.
Oooh!! God.:A S cry:ray2::amen:
i stand to be corrected,hii cruelty ya baadhi ya jamii mi naona kama wanatumia dini kama visingizio tu lakini ukweli kuna jamii ambazo ziko predisposed kufanyiana ukatili wa ajabu with dini or no dini,nikimaanisha historically wako hivyo hata kabla ya advent ya uislam 1500 years ago. Sorry to say this lakini arabs kama arabs (NA WOTE WA MAENEO HAYO INCLUDING PERSIANS,AFGHANS ETC)na sio kama Moslems wananitia shaka sana na mentality yao kuhusu thamani ya life kama jamii,Mungu anisamehe lakini that is my feelings.Mambo ya imani nyingine bwana, me nashindwa kuelewa!
kwa hivyo unamanisha kwamba hata majaji wetu hawana haki ya kumfunga mtu kwa kuwa nawao wanakasoro nyingi tu kama za wanaowahukumu?
kwa hivyo unamanisha kwamba hata majaji wetu hawana haki ya kumfunga mtu kwa kuwa nawao wanakasoro nyingi tu kama za wanaowahukumu?
uislam sio imani tu kama unavyotaka tuamini, uislam ni mfumo kamili wa maisha. Kuanzia sheria, uchumi ,siasa na mambo yote kama vile agano la kale la biblia linavyotaka kabla
alama ya plus kifuani?
Instead of stoning to death, Sakineh is subjected to mental tortures plus 99 lashes!!!!The sad case of the 43-year old Iranian woman Sakineh Mohammadi Ashtiani has shocked the whole world and the authorities were compelled to put in hold the ‘stoning to death' sentence due to the International pressure. But she is now being subjected to immense mental pressure – she had been told that she would be hanged on Sunday. She accordingly prepared herself mentally, bid good bye to her cell mates but the hanging did not happen. She is being told that no one of her family comes to visit her in prison when, in reality, her son has been turned away several times saying that she does not want to meet him!!