in and out
Member
- Jun 30, 2011
- 69
- 6
magdalena sakaya leo ameliambia bunge juu mkuu wa wilaya wanavyojichukulia mifugo ya wanainchi huko urambo-tabora, ameombwa amtaje kiongozi anayefanya hivyo au afute kauli yake lakini mbunge ameonyesha ungangari kwa kusimamia kauli yake, ametakiwa apeleke ushahidi mpaka jtatu mbele ya spika.