msamaha wa nini tena...muache aendelee hadi mwisho!!akuanzae mmalize mie sina nidham ya uoga...enjoy ze show plzzzzOk ok,basi achana na hili na ngoja niongee na cuzoo wangu charty akusamehe.
Though huu mziki umeuchokoza mwenyewe,ni vile nimekumbuka vile tunavyoheshimiana.
Sasa next time usirudie,hii leo nimetumia busara tu.
Hahahahaha basi ngoja tuwaache na siri yaoHahahahaa hata sijui shida iko wapi mkuu,huenda siri wanayo 'wachapwaji' kwanini wanauza game wanapokuwa na jamaa.
Pls msamehe cuzoo,nimekumbuka jamaa tunaheshimiana nae ila leo kateleza bhanangeeee....msamaha wa nini tena...muache aendelee hadi mwisho!!akuanzae mmalize mie sina nidham ya uoga...enjoy ze show plzzzz
Lala mwanangu, baba wako wa kambo nakuomba ulale upumzike, ili yale matatizo yako ya akili yasije jirudiahahaaaa eti msukule..bora mie msukule kuliko maiti wee unayetembea...hivi unajua wee una mkosi tokea uangukiwe na kitovu kwenye kibamia chako ukawa hanithii basiii unawaaaashwaa mda wote...naona unatafutwa kukunwaa shogaah kichaaa kishakupanda ptuuu...yarabi na ulivo mchafu kuoga hata mume hupat siku hiziii !!
Ah ah ah! Angalia ni wapi nimemuanza, sijui hata katoka wapi huyo msukule wako, amequote na kuanza kunitukana, sijui anadhan kuna tusi jipya? Akajipange upyaWewe nae hebu kaa kimya huko,tuache tuendelee na ubuyu wetu.
Kwanza wewe ndio umeanzisha yote haya,inakera ila basi tu tunafunika kombe mwanaharamu apite.
Sigh kumbe kuna na butt lifting?Kigodoro ni uzaman jaman... May be kafanya butt lifting tuuu kijungu kimekaaa sehem yake bas imekua shidaaaahhhh
Istoshe sio kwamba zari ni flat screen tafuta pic zake za bikin utaona
Ninachopendea jukwaa hili ukimsema wema rukhsaKaaazi kweli kweli yani kuna watu wamuona domo na zari miungu watu, kweli we differ in perceiving issues
Word.....Hivi diamond ni nani hasa hapa Tz kwamba kila mwanamke anavutiwa nae?? Alafu nyie watoto wa kimbiji mna shida sana... Huyo diamond kamiliki mtoto gani classic hapa mjini zaidi ya hao hao ambao watu tunawala bila shida
... Kila demu aliyekuwa anagusa alikuwa anachapiwa ndio maana akakimbilia lizee la Uganda tu asisumbuke akili tena
.
Hili suala nililisema mwanzo watu hawakunielewa wakamwagika povu sana,sasa naona akili zinaanza kuwakaa vizuri.Ni umbea, chuki na wivu hakuna jipya.. Na licha ya yote Chibu Dangote kashasema huyu mtoto mbichi kama embe la msimu, yupo boura kuliko aliowahi kupiga matonge huko nyuma (JoJo, sepenga, naj, etc.) ye ndio kaona na kutumia zaidi ya picha za kuwa edited..
Ila huyu Zari nayeye anamatatizo sana, haileti picha nzuri kuvijibujibu vidampa vya town vinavyokeshea university promo kutukana watu, kupoteza muda wa kuwajibu licha ya maneno yao kuchoma kwa wakati Fulani...
Swala la Zari kutumia muda wake kujibu wapuuzi linamfanya aonekane mpuuzi kuliko hao wapuuzi. Diamond aingilie Kati kumbadili kwenye hili...
Hapo umemaliza kujifanya bosslady akati anafatilia maisha ya watu insta...hehehee mbona upande wa pili wanamsema jamani Tanzanians we are fools for sure yaani Mtu sijui kakurupukia Wapi na migodoro yake anaropoka tuuu shenzi na tunamsapoti akati kwao ndio kwanza wanamuona kama mimi tu endeleeni kumpaishaBossilady muda wa kujibu fans anautoa wapi????
Wakajifunze kwa jn mengi..... negative coments anadelete na kublock kwisha kazi......huyo ndio Bosslady