Eistein
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,107
- 482
Hicho kijiji kinamadini gani? au mbuga gani ya wanyama ipo hapo?
kuna wakina wasirakibao huko
Hicho kijiji kinamadini gani? au mbuga gani ya wanyama ipo hapo?
Nawashukuru wote mliochangia bahati mbaya leo akina Rejeo, Riz1, nk hawajaonekana, nilitamani sana michango yao pia
Mungi, Aluta kontinua,
Hapo kwenye red, Aga hara balimaan
Hakuna kulala mpaka kieleweke,asante Aweda kwa taarifa,ikiwezekena tuwasiliane ili utafute namna nzuri ya kumjenga awe mwenyekiti wa kijiji bora,niko tayari kutoa makabrasha mazuri ya kumuongoza afanye kazi vizuri na kwa kujiamini akiwa mwenyekiti wa kijiji,unaweza kuni PM halafu tutawasiliana ili niweze kutoa nondo hizo.
M/KITI sijui hapa kwetu tulishindwaje! ile research ya TANSAO ilinipa moyo sana, mimi kwa sasa ngoja nijenge chama, salaam sana uko...
tunashukuru kwa taarifa ingawa huu ni ushindi kiduchu sana
siyo ushindi kiduchu ......ni mkubwa sana kama wewe ni mfanya research
Ipe uhai taarifa yako, mfano jina la mshindi, kura alopata nk. Jamii ya .com inahitaji taarifa zenye uzito timilifu.