Nono
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,536
- 643
pesa imetoka toka 1984, Mchonga akiwa rais...lakini lawama zote kwa Kikwete!! Ndio Tanzania hiyo, kaaaazi kweli....
hawa wazee ilibidi wapewe fweza zao mwaka 1984. Vinginevyo hapa tuje na mawazo ya kupata ufumbuzi badala ya kunyoosheana vidole...kwani aliewanyima pesa zao hawa ndugu ni Nyerere!! Pesa ilitoka 1984, ilikuwaje watu wasipewe mafao yao?? sielewi hii blame Kikwete kabisa, kama Nyerere alikula pesa, yeye akazitoe wapi? Mkapa na Mwinyi walifanya nini? hivi hamwoni kama mnamwonea huyu jamaa...?
Unasahau babu, hapa haonewi mtu. Anaedaiwa siyo kikwete, ila ni serikali, na serikali ndiyo inayoongozwa na kikwete. Serikali daima ipo ila viongozi ndio wanaobadilika. Kama ingekuwa hivyo basi kusingekuwa na sababu ya Tanzania kuendelea kulipa madeni ambayo ilikopa wakati Nyerere au Mwinyi wakiwa Marais.