Wengine wanaonekana vijana???!!! haielekei kama wote hawa walikuwa kazini miaka 30 iliyopita!Picha wazee walikuwa barabarani leo asubuhi !
Wengine wanaonekana vijana???!!! haielekei kama wote hawa walikuwa kazini miaka 30 iliyopita!Picha wazee walikuwa barabarani leo asubuhi !
Wengine wanaonekana vijana???!!! haielekei kama wote hawa walikuwa kazini miaka 30 iliyopita!
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......
Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.
Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!
asubuhi njema....
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......
Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.
Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!
asubuhi njema....
Picha wazee walikuwa barabarani leo asubuhi !
Mie nafikiri uraisi ni taasisi na ukikaa pale uyapokee yote unayoyakuta yakiwemo mazuri na mabaya.
Visingizio vya eti 'ameyarithi' havitatupeleka popote; kama ambavyo anafungua miradi mipya iliyoanzishwa na watangulizi wake, tena kwa mbwembwe, vile vile ayabebe matatizo yalioachwa na awamu zilizopita yakiwemo ya wizi wa EPA na madeni ya wastaafu.
Wengine wanaonekana vijana???!!! haielekei kama wote hawa walikuwa kazini miaka 30 iliyopita!
This is an embarrasment!Ninaungana na Gembe kwamba JK is a one term president!Hivi huyu mtu ana masikio kweli?Haoni watu wameshachoka kabisa?Na bado serikali isipotoa tamko lao kuhusiana na ada za wanafunzi nao wanagoma!Jana waaandishi wa habari leo wazee kesho nani?Is this country on the verge of collapsing and being termed as a failed state?
Sijui tunakoelekea kwa kweli!
Zipo pia namna nyingine za kudai haki kuliko kusababisha usumbufu kwa watu wasiohusika na mzozo huo. Kuna jamaa wamechelewa flight na wengine tunafanya kazi za kubangaiza na binafsi nimechelewa kutuma bid. Manake nimekosa dili na nina bifu na wazee na serikali vile vile.
Mnapodai haki zenu watazameni na wengine kama kila mtu anajijali mwenyewe hatutafika. Huu ni uchoyo wa watu weusi kutazama kila mtu maslahi yake hatutafika na tutaendelea kuchapa miguu na kubuluzwa miaka yote. Politike kuweka mbele pia sio poa maisha ni zaidi ya siasa.
.
TATIZO LA EAC LILIANZA NA MCHONGA...HUO NDIO UKWELI.
Mimi sina mtazamo huo. Angekuwa ni mtu asiye na mikono michafu suluhu ya tatizo hili ingepatikana, na uwezo huo Raisi anao.
Yaani unataka kuniambia kwamba JK anapata kiburi kwa sababu eti tatizo amerithi? Ajitokeze hadharani basi ayaseme hayo kama hakupigwa risasi. Utakuwa ni ushenzi usio na kifani.
Hiki sio kisingizio anachoweza kukitumia.
Ngoja nikuulize, wewe ulimwelewaje Nyerere aliposema IKULU sio pa kukimbilia?
.
Jamani hawa wazee pesa zao zilitumika kupigana vita ya kagera na uingereza iliahidi kulipia pesa hizo mpaka leo hazijalipwa
Zipo pia namna nyingine za kudai haki kuliko kusababisha usumbufu kwa watu wasiohusika na mzozo huo. Kuna jamaa wamechelewa flight na wengine tunafanya kazi za kubangaiza na binafsi nimechelewa kutuma bid. Manake nimekosa dili na nina bifu na wazee na serikali vile vile.
Mnapodai haki zenu watazameni na wengine kama kila mtu anajijali mwenyewe hatutafika. Huu ni uchoyo wa watu weusi kutazama kila mtu maslahi yake hatutafika na tutaendelea kuchapa miguu na kubuluzwa miaka yote. Politike kuweka mbele pia sio poa maisha ni zaidi ya siasa.
wamekoma, hao wazee so ndo namba wani wapiga kampeni za ccm kwamba ndo chama chao cha zamani? sasa mbona selikali wanayoipenda imewasaliti, wakione cha moto kidogo. vijana tunaposema waachane na icho chama wao huwa wanafikiri tunawapoteza. ni funzo kwao kwa uchaguzi wa 2010. poleni kidogo tu lakini.
tunaangalia vitu ktk lens tofauti! wewe umejaa ushabiki na jazba, unangalia vitu juu juu bila kuangalia tatizo limeanzia wapi ili kupata ufumbuzi ulo sahihi.....
kwa akili yako unadhani mie namtetea Kikwete? la hasha, nilichokuwa nasema mimi, hii rhetoric hapa inafanya ionekane kana kwamba hili tatizo limemea ktk awamu hii, wakti si kweli......mshipa huu uliachwa na mchonga!! kama hutaki basi...ndio, anatakiwa atafute ufumbuzi kwa kuwa yeye ni rais,
...lakini isiwe sababu ya kusema "oooooh kwa ajili ya hili, basi huyu bwana kweli ni one term president." Kila mtu anajua incompetency ya awamu hii, kama nilivyosema awali huko juu..mnyonge mnyongeni, lakini semeni basi na ukweli. TATIZO LA EAC LILIANZA KTK AWAMU YA KWANZA, MCHONGA AKIWA RAIS...huo ni ukweli!!!
Punguzeni jazba....