M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,737
- 405
Rais wa Zanzibar Dr. Mohamed Shein amekumbana na mtihani wa kwanza kwenye uongozi wake pale uteuzi wa majaji watatu kati ya wanne wa mahakama kuu ya zanzibar ulipopingwa na chama cha mawakili Zanzibar kwa sababu ya udhaifu wa utendaji kazi wao, Chama hicho kimehoji pia uhalali wa jaji mkuu wa zanzibar kuendelea kuwepo madarakani wakati umri wake wa kustaafu kwa mujibu wa sheria ulishafika.
Jisomee mwenyewe waraka ulioambatanishwa hapa ikiwa ni barua rasmi kwenda kwa Rais Shein.
Jisomee mwenyewe waraka ulioambatanishwa hapa ikiwa ni barua rasmi kwenda kwa Rais Shein.