Hapa siasa tu hakuna chochote cha maana, CCM zanzibar bila CCM bara haitakuwepo, bali tutakuwa na vyama vingi vidogo vitakavyoanzishwa na wakiojitoa CCM Zanzibar. Hili alina mjadala kwani mara nyingi tunaona jinsi wanavyopingana hata wao ila wanaunganishwa na CCM bara.
Ila kwa CUF naona wanaweza ( sina uhakika) kuendelea kuwa pamoja kama watajitenga na CUF bara, kwahiyo CCM zanzibar wasilete jeuri kwani CCM bara ndo mbabe wao kwa CUF otherwise watakuwa na hari mbaya sana.
CCM bara ndo iliwasaidia kmteka msabaha na ndo maana wakamweka makao makuu badala ya kumpa cheo kule zanzibar, CCM bara imekuwa ikiwasaidia mambo mengi sana kwa mfano wakati kamando alipotaka kubadilisha katiba na kujiongezea muda ni CCM bara ndo walikataa, otherwise karume asingekuwa madarakani leo hii.
CCM bara imewasaidi kutuliza watu wa CUF kwa mihafaka hewa, kila mara baada ya uchaguzi lakini wangekuwa peke yao hakuna mtu wa CUF ambaye angewasikiliza kamwe.
Ila kwa CUF naona wanaweza ( sina uhakika) kuendelea kuwa pamoja kama watajitenga na CUF bara, kwahiyo CCM zanzibar wasilete jeuri kwani CCM bara ndo mbabe wao kwa CUF otherwise watakuwa na hari mbaya sana.
CCM bara ndo iliwasaidia kmteka msabaha na ndo maana wakamweka makao makuu badala ya kumpa cheo kule zanzibar, CCM bara imekuwa ikiwasaidia mambo mengi sana kwa mfano wakati kamando alipotaka kubadilisha katiba na kujiongezea muda ni CCM bara ndo walikataa, otherwise karume asingekuwa madarakani leo hii.
CCM bara imewasaidi kutuliza watu wa CUF kwa mihafaka hewa, kila mara baada ya uchaguzi lakini wangekuwa peke yao hakuna mtu wa CUF ambaye angewasikiliza kamwe.