Sakata la umeme nchini sasa limeingia ktk sura nyingine - LUKU

Hawa jamaa wanampango gani na hii nchi.network za luku hazipatikani nchi nzima toka juzi..hata kwenye nmb mobile pamoja na m-pesa,huwezi kununua umeme wa luku..au nao wameamua kugoma kama wenzao wa mafuta.nchi hii imelaaniwa nini?
 
Yaani nimecheck kituo cha karibu na hme jioni foleni ni ndefu jamani utadhani nmb bank mwisho wa mwezi!
 
Mkuu wale wahindi inabidi watuambie ukweli!
Nenda tanesco makao makuu(ubungo) mhindi ndo anauza umeme kuna nini hapo!
 
Hata pande za kwetu foleni inatisha na network ıko hovyo.
 
Mkuu cheki na vishoka wakupe kitu live nchi ishauzwa hii kama noma na iwe noma

nitakupata! Nyie ndo mnasumbua watu. Nilikuwa nawaza sana uhalali wa kuendelea kukaa na hii kadi ya vidole, sasa narudi kwetu jembe na nyundo. Vidole wagomvi, wahujumu uchumi, na majambaz wakubwa!
 
Inatia hasira na kushangaza , hivi ni kweli tumeshindwa kuwaadabisha, jamani tubadilike, usione wanzungu na sehemu nyingine wanaandamana sio ji tofauti na haya , watanzania wenzangu ni swala la kupanga maandamano na kushikiza maabadiliko, au manasemaje, Mwanzo ilikuwa mgao wa umeme sasa ni luku, hawa wanatikisa kiberiti make tumekuwa waonga mno, mmoja wa mawazili alisema hata kwa kula majani ndege itanununliwa, wajinga ndio waliwao, nchi yetu hii tuliwachagua wenyewe kwanini watuendeshe isivyo! wake up people open your eyes, tubadirike!
 
Wapizani ni wewe nani atkuonyeshea njia wakati unayeumia ni wewe, badirika mwanangu hii nchi wanatuchezea, play your part acha porojo, unafikiri kina slaa, kabwe , ambowe wana shida kama wewe, fight for your life, wao wanatafuta ulaji changamka utaendelea kulia hivyo ngereja anakula na katibu wake, acha masihara, NYANYUKA TETEA HAKI ZAKO.
 
Oyaa! Kumbukeni twatakiwa kubadirika, ukitembea bararbarni sio unaharibu utaratibu, na jeshi la police nao utafikiri huu mgao hawauoni umeme ukikatwa wote giza, nafikiri cha msingi police waturinde tuonyeshe kwamba vinavyofanyoka sio, make sisi ndo tunao umia.wake up!
 
Subiria moto utawaka muda si mrefu. Wamaezidi, hela za uchaguzi wa igunga zimatoka wapi wakati umeme tatizo, ilikuwa ni lazima kufanya uchaguzi sasa hivi kama sio uchakchuzi wa fedha,
 
Inatia hasira na kushangaza , hivi ni kweli tumeshindwa kuwaadabisha, jamani tubadilike, usione wanzungu na sehemu nyingine wanaandamana sio ji tofauti na haya , watanzania wenzangu ni swala la kupanga maandamano na kushikiza maabadiliko, au manasemaje, Mwanzo ilikuwa mgao wa umeme sasa ni luku, hawa wanatikisa kiberiti make tumekuwa waonga mno, mmoja wa mawazili alisema hata kwa kula majani ndege itanununliwa, wajinga ndio waliwao, nchi yetu hii tuliwachagua wenyewe kwanini watuendeshe isivyo! wake up people open your eyes, tubadirike!
 
Mtalia sana, uamuzi mliufanya wenyewe mwaka jana so mnapaswa kuwavumilia hasa wakati huu yunapokuwa kwenye POWER vacuum!
 
Tatizo la tanesco sio luku ila ni mfumo mbovu wa ukusanyaji mapato na mawazo finyu ya uwekezeji wenye tija, kwahiyo kama unataka kuichambua unapaswa kujua sio luku bali mfumo mzima, kwani wewe inamaana hujawahi kusikia wanazalisha umeme kwa gharama kadhaa na zinazokusanywa ni kadhaa, na umeme unaopotea ambao haulipiwi unaibiwa na wateja ni kadhaa na pia unaopotea njiani wakati wa usafirishaji ni kadhaa?
 
Umeme umepungua hivyo ukiisha kwako ndo subiri hadi bwawa la mtera lijae!
 
Mh! Ngoja nikacheki zimebaki units ngapi kesho asubuhi nkajiwahi foleni.
 
Mimi sina umeme maana natakiwa ninunue nguzo tatu ili uingie kwangu jana nimelipia nimeambiwa by next three days utawaka, hivyo nitaingia rasmi kwenye changamoto ya wapi pa kununua umeme, naipenda sana Tanzania lakini basi tuu, nisiseme mengi nisije itwa mdini na mchochezi. Hivi inaingia akilini kununua nguzo moja kwa wastani wa Milioni moja na zaidi? ili niweze kupata huduma ya umeme na ikumbukwe kwamba nguzo hizo zitaendelea kuwa mali ya Tanesco.
Ulipoichagua CCM ulitarajia nini? Hayo ndo matunda ya kuchagua chama cha kihuni kama CCM.
 
Back
Top Bottom