Wanitakiani
JF-Expert Member
- Apr 18, 2008
- 641
- 135
Wadau leo maeneo ya Mwenge nimekutana na Bw. Charles Mgeta Ekelege, aliyekuwa kibosile wa TBS akiwa kwenye gari ya Shirika la Umma lenye Na. SU 36739. Nikajiuliza maswali mengi, hivi si ndiye aliyesimamishwa kazi TBS?! Ikabidi nitumie muda wangu Wa ziada kufanya utafiti mdogo na kupata dondoo zifuatazo:
1. Bw. Ekelege bado anapata mshahara wake kamili na si nusu mshahara Kama ilivyo kwa Watumishi wa Serikali/umma wanaposimamishwa kazi
2. Bw. Ekelege bado anapata marupurupu yote Kama vile kutumia gari, dereva na malipo ya simu
3. Bw. Ekelege bado anapelekewa nyumbani documents za ofisi ikiwa ni pamoja na mafaili ya ofisi. Jambo linalotekelezwa kwa ufanisi na aliyekuwa Sekretary wake kwa maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Leandri Kinabo na Bibi Kezia Mbwambo, Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora
4. Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Kinabo aliteuliwa na Bw. Ekelege kushika nafasi hiyo baada ya kusimamishwa kwake. Jambo ambalo si utaratibu kwani aliyepaswa kuteua mtu wa kukaimu ni Bodi ya TBS. Ekelege alimteua Kinabo kinyume na utaratibu kwa kuwa ni mtu wake, ambaye tangu akiwa TBS ndiye aliyekuwa akimkaimisha wakati wote ilhali wapo wakurugenzi ambao ni senior kuliko Kinabo.
5. Bibi Kezia Mbwambo ambaye ana mahusiano ya karibu na Bibi Joyce Mapunjo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anahusishwa ktk tuhuma na hujuma mbalimbali pamoja na Ekelege na mama huyo alitajwa ktk ripoti ya CAG. cha ajabu mama huyo hadi leo bado anadunda TBS na Bodi inapaswa kumsimamisha lkn anakingiwa kifua na bibi Joyce Mapunjo.
6. Kuna safari inayoandaliwa ya kwenda Santiago, Chile mwezi Septemba mwaka huu ambapo ktk tiketi zinazoandaliwa yumo Mwenyekiti wa Bodi ya TBS, Charles Mgeta Ekelege na Thomas Mgeta Mnunguli. Kwanini ktk safari hiyo lipo jina la Ekelege ambaye amesimamishwa kazi? Anajumuishwaje ktk safari hiyo?
7. Bw. Thomas Mgeta Mnunguli ni ndugu yake wa damu na Bw. Ekelege ambaye amepewa vyeo vya International Liason Officer na ndiye Head of Electrical Standard Section.
Nimejiuliza maswali mengi, kama Ekelege alisimamishwa kazi na pengine kupisha uchunguzi kazi hiyo itafanyikaje kwa uhuru wakati Ekelege bado ana influence kubwa TBS? Kuna wafanyakazi TBS ambao ni mapandikizi ya Ekelege kama PS wake, Kaimu Mkurugenzi Mkuu na nduguye Bw. Thomas Mgeta Mnunguli ambao bado wanampa taarifa zote za kiofisi na hivyo kupoteza ushabidi?
Kwanini mama Kezia Mbwambo hadi leo hajachukuliwa hatua licha ya yeye na Ekelege kutajwa kwenye ripoti ya CAG? Kwanini Ekelege alimteua Bw. Kinabo kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu Wa TBS wakati alikwishasimamishwa kazi na huku akijua si utaratibu? Kwanini Bodi imekaa kimya? Bodi/Waziri mhusika anayajua madudu haya ya TBS? Kwanini watu wanafuja mali ya umma na kuua Watz wasio na hatia kwa kuwalisha vyakula visivyo na ubora wala viwango na wakulima kuuziwa mbolea isiyo na viwango ili kuwapa Watz umasikini?
Who is Ekelege????
1. Bw. Ekelege bado anapata mshahara wake kamili na si nusu mshahara Kama ilivyo kwa Watumishi wa Serikali/umma wanaposimamishwa kazi
2. Bw. Ekelege bado anapata marupurupu yote Kama vile kutumia gari, dereva na malipo ya simu
3. Bw. Ekelege bado anapelekewa nyumbani documents za ofisi ikiwa ni pamoja na mafaili ya ofisi. Jambo linalotekelezwa kwa ufanisi na aliyekuwa Sekretary wake kwa maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Leandri Kinabo na Bibi Kezia Mbwambo, Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora
4. Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Kinabo aliteuliwa na Bw. Ekelege kushika nafasi hiyo baada ya kusimamishwa kwake. Jambo ambalo si utaratibu kwani aliyepaswa kuteua mtu wa kukaimu ni Bodi ya TBS. Ekelege alimteua Kinabo kinyume na utaratibu kwa kuwa ni mtu wake, ambaye tangu akiwa TBS ndiye aliyekuwa akimkaimisha wakati wote ilhali wapo wakurugenzi ambao ni senior kuliko Kinabo.
5. Bibi Kezia Mbwambo ambaye ana mahusiano ya karibu na Bibi Joyce Mapunjo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara anahusishwa ktk tuhuma na hujuma mbalimbali pamoja na Ekelege na mama huyo alitajwa ktk ripoti ya CAG. cha ajabu mama huyo hadi leo bado anadunda TBS na Bodi inapaswa kumsimamisha lkn anakingiwa kifua na bibi Joyce Mapunjo.
6. Kuna safari inayoandaliwa ya kwenda Santiago, Chile mwezi Septemba mwaka huu ambapo ktk tiketi zinazoandaliwa yumo Mwenyekiti wa Bodi ya TBS, Charles Mgeta Ekelege na Thomas Mgeta Mnunguli. Kwanini ktk safari hiyo lipo jina la Ekelege ambaye amesimamishwa kazi? Anajumuishwaje ktk safari hiyo?
7. Bw. Thomas Mgeta Mnunguli ni ndugu yake wa damu na Bw. Ekelege ambaye amepewa vyeo vya International Liason Officer na ndiye Head of Electrical Standard Section.
Nimejiuliza maswali mengi, kama Ekelege alisimamishwa kazi na pengine kupisha uchunguzi kazi hiyo itafanyikaje kwa uhuru wakati Ekelege bado ana influence kubwa TBS? Kuna wafanyakazi TBS ambao ni mapandikizi ya Ekelege kama PS wake, Kaimu Mkurugenzi Mkuu na nduguye Bw. Thomas Mgeta Mnunguli ambao bado wanampa taarifa zote za kiofisi na hivyo kupoteza ushabidi?
Kwanini mama Kezia Mbwambo hadi leo hajachukuliwa hatua licha ya yeye na Ekelege kutajwa kwenye ripoti ya CAG? Kwanini Ekelege alimteua Bw. Kinabo kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu Wa TBS wakati alikwishasimamishwa kazi na huku akijua si utaratibu? Kwanini Bodi imekaa kimya? Bodi/Waziri mhusika anayajua madudu haya ya TBS? Kwanini watu wanafuja mali ya umma na kuua Watz wasio na hatia kwa kuwalisha vyakula visivyo na ubora wala viwango na wakulima kuuziwa mbolea isiyo na viwango ili kuwapa Watz umasikini?
Who is Ekelege????