Akitangaza katika taarifa ya habari ya ITV saa mbili, Fatma almai nyangasa amesema ITV na Channel 5 wanaomba radhi kwa kumhoji hakimu aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo na kuriport matukio wakati kesi hiyo inaendelea; Swali je mhindi aliyenyang'anya mtoto kwa kutumia fedha kazipenyeza hadi mahakamani?
Baada ya kufanywa kuwa siri sasa je yule mdada atatendewa haki au ndio ameumia?
Karibuni wadau
Baada ya kufanywa kuwa siri sasa je yule mdada atatendewa haki au ndio ameumia?
Karibuni wadau