Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,921
- 22,073
Wapendwa
kwa wlaioona jana taarifa ya habari ya tbc kesi ya jerrymuro imezaa kesi nyingine juu yake baada ya mshitakiwa aitwae deogratias kusema aliitwa mbele ya mkuu wa upelelezi kanda ya dar es salaam na kamishna wa polisi kbw kasala na kuletewa karatasi ambayo ilikuwa juu yake imewekwa karatasi nyingine na kuambiwa asaini..alipokataa bw huyu aliambiwa asiposaini watamakesure wamemfunga akauliza kwa nini akaambiwa na mkuu wa upelelezi bw CHARLES MKUMBO sisi mtu wetu ni jerry muro amelizalilisha sana jeshi la polisi na niachokwambia hii saini ndio itakayokutoa ..na hii amri sio mmimi ni jkutoka makao makuu
JAMANI WATANZANIA NIMEANGALIA MWILI UKASISIMKA NIKASEMA KUMBE SEGEREA/KEKO NA MAGEREZA MENGINE YAMEJAA WAFUNGWA WENGI WASIO NA HATIA ..EMBU ANGALIA KAMA HILI ANAAMBIWA AMRI IMETOKA JUU JAMANI WATANZANIA TUWATAFUTE HAO WA JUU WATUELEZE WANATAKA NINI???HII KESI WENGI WALIONGEA MWEMA AKASEMA ATAISEMEA MPAKA LEO HII...ANYWAY TUSUBIRI UKWELI JAMAA WAMEITWA WAJE KUELEZA
kwa wlaioona jana taarifa ya habari ya tbc kesi ya jerrymuro imezaa kesi nyingine juu yake baada ya mshitakiwa aitwae deogratias kusema aliitwa mbele ya mkuu wa upelelezi kanda ya dar es salaam na kamishna wa polisi kbw kasala na kuletewa karatasi ambayo ilikuwa juu yake imewekwa karatasi nyingine na kuambiwa asaini..alipokataa bw huyu aliambiwa asiposaini watamakesure wamemfunga akauliza kwa nini akaambiwa na mkuu wa upelelezi bw CHARLES MKUMBO sisi mtu wetu ni jerry muro amelizalilisha sana jeshi la polisi na niachokwambia hii saini ndio itakayokutoa ..na hii amri sio mmimi ni jkutoka makao makuu
JAMANI WATANZANIA NIMEANGALIA MWILI UKASISIMKA NIKASEMA KUMBE SEGEREA/KEKO NA MAGEREZA MENGINE YAMEJAA WAFUNGWA WENGI WASIO NA HATIA ..EMBU ANGALIA KAMA HILI ANAAMBIWA AMRI IMETOKA JUU JAMANI WATANZANIA TUWATAFUTE HAO WA JUU WATUELEZE WANATAKA NINI???HII KESI WENGI WALIONGEA MWEMA AKASEMA ATAISEMEA MPAKA LEO HII...ANYWAY TUSUBIRI UKWELI JAMAA WAMEITWA WAJE KUELEZA