Katika kile kinachoendelea kwasasa kwenye sakata la mgombea Urais 2015, kampuni ya simu za mikononi ya husika katika maandalizi hayo yenye Lengo la kumsimamisha mgombea Binafsi ama Mgombea huyo akagombee kupitia ADC na ndiyo maana ADC imewekwa Rangi za Chadema maana mgombea huyo atatokea Chadema na kujiingiza kwenye kambi hizo.
Ilikuwa ni siku mbili kabla ya Tukio la Kigoma all star kwenda kufanyika ndipo wanamitandao hawo walipoenda Arusha kukutana jinsi ya kuendeleza mikakati hiyo baada ya kigoma, walikutana kwenye hotel ya Mount Meru hotel watu ni mmoja anayehusishwa na sakata la Urais 2015 kutokea Upinzani na Mwingine ni yule mnyonyaji wa wasanii Tanzania na msimamizi wa kituo kimoja cha Redio kwasasa kina mpaka Runinga.
Mtandao huo wenye lengo la kudhoofisha Upinzani kwakutumia wanamziki hawo wanaowika kwasasa kwa kigezo cha Kigoma all star na kutaka kuzunguka nchi nzima kwaajili ya kujijenga kupitia vijana, inaelezwa kwasasa mabosi wa Voda wameanza kukinzana kuhusu faida watakayoipata kupitia project hiyo.
Vile vile uchunguzi wa mambo unaendelea kuchunguza kwa kupata Data za picha pamoja na vikao vinavyofanyika mara kwa mara na vile vilivyofanyika kwa lengo la kuanzisha ADC. Mchakato huwo ukikamilika hivi karibuni tutamwaga data hapa kwa majina na sehemu walizokutana, japokuwa mtandao huu upo mpaka kwenye mamlaka ya nchi kwaajili ya kuhakikisha upinzani haufiki 2015.
Tutajitahidi kuweka na majina ya watu wa mamlaka wa nchi wanaohusika. Ni taarifa tu, Ushahidi baadae.
Update:naomba niweke taarifa sawa, makampuni yanayohusika na sakata hili yapo matatu kwasasa ni hilo moja ndiyo ushahidi upo hayo mengine tutayaleta uchunguzi ukikamilika.
Ilikuwa ni siku mbili kabla ya Tukio la Kigoma all star kwenda kufanyika ndipo wanamitandao hawo walipoenda Arusha kukutana jinsi ya kuendeleza mikakati hiyo baada ya kigoma, walikutana kwenye hotel ya Mount Meru hotel watu ni mmoja anayehusishwa na sakata la Urais 2015 kutokea Upinzani na Mwingine ni yule mnyonyaji wa wasanii Tanzania na msimamizi wa kituo kimoja cha Redio kwasasa kina mpaka Runinga.
Mtandao huo wenye lengo la kudhoofisha Upinzani kwakutumia wanamziki hawo wanaowika kwasasa kwa kigezo cha Kigoma all star na kutaka kuzunguka nchi nzima kwaajili ya kujijenga kupitia vijana, inaelezwa kwasasa mabosi wa Voda wameanza kukinzana kuhusu faida watakayoipata kupitia project hiyo.
Vile vile uchunguzi wa mambo unaendelea kuchunguza kwa kupata Data za picha pamoja na vikao vinavyofanyika mara kwa mara na vile vilivyofanyika kwa lengo la kuanzisha ADC. Mchakato huwo ukikamilika hivi karibuni tutamwaga data hapa kwa majina na sehemu walizokutana, japokuwa mtandao huu upo mpaka kwenye mamlaka ya nchi kwaajili ya kuhakikisha upinzani haufiki 2015.
Tutajitahidi kuweka na majina ya watu wa mamlaka wa nchi wanaohusika. Ni taarifa tu, Ushahidi baadae.
Update:naomba niweke taarifa sawa, makampuni yanayohusika na sakata hili yapo matatu kwasasa ni hilo moja ndiyo ushahidi upo hayo mengine tutayaleta uchunguzi ukikamilika.