Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
Tutaona mengi. Hii inathibitisha kuwa mtawala kazidiwa. Go chadema Go!
wahusika lazima wachukuliwe hatua kali. Huwezi kupoteza maisha ya mtu shauri ya siasa tu.
Tusianze kwenda ambako majirani zetu walishafikia.
Dalili zilionyesha mapema; hata kama mtu amefanya kosa kwanini waanze kumpiga, kwani wao kuchukua hatua wamegeuka polisi?
Wanasiasa wote lazima wakemee vurugu za aina yoyote maana hazina maana na zitaleta majanga yasiyo na maana.
Ndugu naona na wewe uko kwenye kampeni jinsi ulivyo present habari yako imekaa kishabiki kwa kuchukuwa upande mmoja tu wa maoni yaani shibuda -- kwa kuwa umewahi kuendesha vipindi vya televisheni haswa vya kukalisha wagombea na wanasiasa mbalimbali nilidhani unauzoefu wa kuchukuwa habari na maoni pande zote mbili -- umechukuwa moja ukaja kuweka hapa
Trash!
tutaona mengi. Hii inathibitisha kuwa mtawala kazidiwa. Go chadema go!
Hawa ccm ndio walivyo wanaposhindwa kwa hoja huwa wanakuwa na jazba na kuleta shari; damu ya watanzania wataimwaga wao na ili tufufuke ni lazima tufe na WATANZANIA tuko tayari!!Radhi siombi msimamo wangu ni huo aandike habari zake kwa umakini sio kwa ushabiki yeye ni mzoefu wa haswa televisheni anajua anachofanya
Hili ni lazima litolewe ufafanuzi wa kutosha. Nilikwisha andika na ninarudia tena kuwa CHADEMA wawe waangalifu na hujuma za kijasusi zinazofanywa na CCM dhidi yao.
Hii ni mipango ya kitaalam sana ya kijasusi ambapo wana CCM wanaotumwa kuanzisha vurugu hawajui kuwa wanatumwa kama mbuzi wa kafara. Wao wauawe, CCM ipate 'public sympathy' halafu wanachi waichukie CHADEMA na kuiona ni chama cha magwanda kinachoashiria vurugu na sasa zinathibitika.
Tangu shirika la kijasusi la nchi fulani kubwa lichukue tenda ya kusaidia JK aingie madarakani suala hili limeendelea kujitokeza na cha ajabu limetokea hata maeneo ambayo vurugu huwa si jambo la kawaida.
Hivi leo hii mimi nikute watu wako kwenye mkutano wa CCM halafu nipite katikati ya huo mkutano na mavazi ya CHADEMA au nikipepea bendera ya CHADEMA nakuwa natafuta kitu gani. Majasusi hawa wanajua kitu kinaitwa 'mob psychology'. Wanaelewa akilianzisha mmoja basi akili ya mtu mmoja inagawanyika na idadi ya mob yaani mfano 1/100,000. kisha 'fraction' hii ndio hufanya maamuzi, kupiga, kuvunja mbavu n.k.
Naona taratibu baada ya CCM kujua kwa uhakika kuwa wamepoteza uchaguzi huu, wanaanza kuleta mbinu za Burkina faso, Ivory Coast, Sierra Leone, Somalia na Sudan.
'Provoke them, let them seem dangerous to rule, destroy their public image, gain public sympathy'.
CCM hata mkiishiwa sera, tafadhali msimwage damu zetu na kusingizia CHADEMA. Hawa green guard na wengineo mlio nao wanayoyafanya ni sawa na suicide bombing.
Mfano kama green guard wangekuja kunivamia mimi, nisingekubali kupoteza maisha au afya yangu kwa kuwatazama tu, ningeweza kupiga mtu risasi ya kichwa, lakini mimi ndio ningeonekana muuaji.
Please please CCM huku mnakoenda sasa ni usengeni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wakuu zangu,
Hivi hapo kwenye blue and red bold, kuna ukweli wa habari hizi? Unajua this week nimesikia hizi pia!! Nikapuuzia ukizingatia source iliyotoa!!!
Hawa jamaa wanatutaka nini?