William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Shirika la Ndege nchini, ATC limelaumiwa kwa kufanya kitendo cha aibu ya mwaka kwa kuwasotesha kwa wiki nzima mahujaji zaidi ya 300 ambao wameshakamilisha taratibu zote za safari
Hii ni ishu ya kisheria, sio siasa kwa hiyo wahusika ni kwenda mahakamani na kudai fidia, mashirika ya ndege ya nje hutulipa dola 300 kwa kila siku utakayosubiri, kwa hiyo ATC wawajibike tu, wala hakuna sababu ya mjadala!
Hii ni ishu ya kisheria, sio siasa kwa hiyo wahusika ni kwenda mahakamani na kudai fidia, mashirika ya ndege ya nje hutulipa dola 300 kwa kila siku utakayosubiri, kwa hiyo ATC wawajibike tu, wala hakuna sababu ya mjadala!