Sakata la Lulu na Kifo cha Kanumba, what does the Law say?

nafkiri ungeanza na watanzania wengine waliopo gerezani bila hatia ndo umalize na uyu binti mana wapo wenye kesi kama izo wengi tu na hawana wa kuwasaidia wanasota jela tu
 
nashukuru wote mlio nitumia private message, kimsingi zimenipa direction wapi pa kuanzia! pia hata nyie mnaocomment, ninataka kuwasiliana na familia ya LULU, kama itaniruhusu niko tayari kuwasaidia, hii kesi ni ndogo sana kwangu!
 
Mkuu,

Nafikiri kujitoa kwako kungekuwa ni kwa mapana zaidi kwa kuanza kwa wewe kwenda Tanzania (tena uwahi ndege ya leo) ufike pale kituo cha polisi na ufanikishe ili huyu binti apewe dhamana yenye masharti nafuu.

Akiwa nje (on police bail) wewe uanze kuandaa utetezi na hivyo utakuwa umejitolea kweli.

NB: police bail inaweza kuja na condition kwamba lulu awe ana-report pale kituoni kila asubuhi.

Uko sahihi lakini kama anashtakiwa kwa manslaughter (mauaji ya bila kukusudia kama Ditopile) na sio Murder (kuua kwa kukusudia). Itachukua muda kidogo kuamua which is which between the two sio siku moja ama mwezi mmoja kama unavyodhani. refer Ditopile case
 
Ni sawa na una haki ya kufanya hivo..pia bado tunasubiri report za madaktari na police ..anything can happen..
Nasikitika kwa kifo cha Kanumba na pia namsikitia sana huyu mtoto bado mdogo sana kukumbwa na mikasa mizito kama hii
 
duh ama kweli..., kazi ipo

Lakini ukweli ni kwamba huyu binti sasa anakuwa treated kama a cold blood killer au serial killer.., lakini huenda ni bahati mbaya

Kwakeli huyu binti kwa sasa anahitaji mtu wa kuongea nae na kumfariji (she has witnessed in a day what some of us will never witness in our lifetime) kwahio wanajamvi I beg of you lets cut the girl some slack

kweli mkuu Mtu hana taaluma ya udakitari, wala maiti hajaiona, yet ripoti ya post-mortem haijatoka bado, afu anadai Lulu kaua.
Tuombe Mungu madakitari, polisi na wapelelezi wawe fair katika uchunguzi wao.
Lulu is too delicate to kill a human being, sijui kama ana ujasiri hata wa kuchinja kuku yule, na ndio mana najipanga kuja dsm any time for that, wanafamilia wanajadili ili niweze jua nitasaidia vipi
 
umsaidie au upate chance ya kumt*m*a?stupid opportunist

kuna watu sijui mnawazia kwa kutumia sijui nin?hebu fikiri kama angekuwa mtoto wa nduguyo afu kule omba MUNGU usifike,ukifika utakumbuka ***** unaoposti hapa kama huna elimu ya sheria kaa kimya ...
 
kweli mkuu Mtu hana taaluma ya udakitari, wala maiti hajaiona, yet ripoti ya post-mortem haijatoka bado, afu anadai Lulu kaua.
Tuombe Mungu madakitari, polisi na wapelelezi wawe fair katika uchunguzi wao.
Lulu is too delicate to kill a human being, sijui kama ana ujasiri hata wa kuchinja kuku yule, na ndio mana najipanga kuja dsm any time for that, wanafamilia wanajadili ili niweze jua nitasaidia vipi
Vipi ulikuwa unatafuta mchumba?
 
Uko sahihi lakini kama anashtakiwa kwa manslaughter (mauaji ya bila kukusudia kama Ditopile) na sio Murder (kuua kwa kukusudia). Itachukua muda kidogo kuamua which is which between the two sio siku moja ama mwezi mmoja kama unavyodhani. refer Ditopile case

Ni kweli kabisa kuzingatia kwamba ni mkurugenzi wa mashtaka pekee mweye uwezo wa kuangalia ushahidi wote ambao unakusanywa hivi sasa.

Bila yeye kutoa uauzi kama ni murder au manslaughter sisi bado tutakuwa tunajadili lakini hatufahamu mambo yanakwendaje.
 
kuna watu sijui mnawazia kwa kutumia sijui nin?hebu fikiri kama angekuwa mtoto wa nduguyo afu kule omba MUNGU usifike,ukifika utakumbuka ***** unaoposti hapa kama huna elimu ya sheria kaa kimya ...
Halafu kwa uzito huo huo imagine kwamba wewe ndio Mama/Baba/Mtoto or with close Family ties na Kanumba ungejisikiaje? Na wewe usipost hapa kama huna Elimu ya ufahamu.
 
Hata mi ningekuwa uwezo ningemsaidia

kweli ndugu tumpe support dogo maana kweli tumepoteza ya mwenyezi yaheshimiwe na msaada kwa huyu aliyeangukia mikono ya dola tuangalie vile tunaweza tumsaidie apate haki yake ile ilimpasa kupata.
 
Simpendi lulu ni mtoto mdogo asiyekuwa na chembe ya heshima simuonei huruma...amemsumbua sana mama yake mzazi,acha azeekee huko jela ametumika vya kutosha hakika asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na walimwengu.

ogopa kule hakuna mzoefu wala anayependa kwenda kule ndo ukweli huo muonee huruma mtoto wa mwanamke mwenzio.
 
niwieni radhi wana jf. Nakiri kuwa sifuatiliagi sana vibweka vya mastaa wa bongo but this one is a matter of public interest. Naomba anayemjua huyo lulu atumwagie jamvini wasifu wake (na picha if possible) na uhusiano wake na hayati kanumba.

Nawasilisha.

mi ninazo picha zake za utupu km vp nitumie e mail yako nikurushie
 
niwieni radhi wana jf. Nakiri kuwa sifuatiliagi sana vibweka vya mastaa wa bongo but this one is a matter of public interest. Naomba anayemjua huyo lulu atumwagie jamvini wasifu wake (na picha if possible) na uhusiano wake na hayati kanumba.

Nawasilisha.[/quo

NENDA GOOGLE ANDIKA LULU UTAZIONA PICHAZAKE NYINGI2
 
kweli ndugu tumpe support dogo maana kweli tumepoteza ya mwenyezi yaheshimiwe na msaada kwa huyu aliyeangukia mikono ya dola tuangalie vile tunaweza tumsaidie apate haki yake ile ilimpasa kupata.
Na mama yake Kanumba apewe sapoti na nani? Huu sio wakati wa kuegemea popote cha muhimu haki itendeke.
 
Back
Top Bottom