Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Nawaombeni mnijuze kama mna any updates.
Nawaombeni mnijuze kama mna any updates.
Mkuu nikawaida yetu kusahau mambo angalia hata akina Mwanakijiji wameshasau hili sijui nani wakutukunbusha ngoja tusubili...
'Vyombo vya usalama havihusiki na kuweka vifaa hivi kwa sababu ni vya kizamani sana, hatuvitumii tena. Tunaenda kuvichunguza Dar' ... hapo ndipo mchezo ulipoishia au labda bado wanaendelea kuvichunguza na nina uhakika uchunguzi huo hautakwisha mapema