technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
- Thread starter
- #21
Dangote aishitaki serikali kuokoa Ajira za watanzania
Naona umesogea sasa twende kwa hoja pitia hapa alafu useme nilichokuwa nikitetea ni nini......
...
Naona umesogea sasa twende kwa hoja pitia hapa alafu useme nilichokuwa nikitetea ni nini......
...
Watanzania wambea sana
Eti leo wapinzania ndo walikuwa wanatetea kiwanda kiwepo...!?
Wakati hao NDO walikua wanafurahia na kumcheka magufuri na kusema nchi imemshinda rejea post zako technically /salary slip.