Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Hahaha,Ivuga usihukumu usije..............
pole sana bro! you think you deserve this? to be saint?
Hahaha,Ivuga usihukumu usije..............
Ivugaaaaaa!!!!
kwa sababu nilikuwa na dhambi(hata wewe unazo nyingi tu)
na sasa hivi nimetubu
na nimemrudia Mungu
na sitarudi tena kwenye njia chafu
na jina la Bwana lihimidiwe
hallelujah
Amani iwe nawe:
hahah mkuu Tanmoumeenda mbali sana, na haa naona unataka kununua ugomvi kwa speaker ,analalamika kial siku kuwa kuna mtu anataka kumchukulia mke wakeKwa kauzoefu kangu kadogo kuhusu huyu Bwana nadhani kuna Binti Mlokole humu ndani anawindwa, take my words.....
Kila la Heri Mtakakitu Ivuga.
Dah,yaani watu wamesha kushtukia aisee,..hahah mkuu Tanmoumeenda mbali sana, na haa naona unataka kununua ugomvi kwa speaker ,analalamika kial siku kuwa kuna mtu anataka kumchukulia mke wake
KUkiangalia baadhi ya watakatifu wengi walikuwa na matendo mabaya ajabu before, mkumbuke peter/paul na wengine matendo yao mabaya waliyaweka hadharani so na ww unaweza kutuelezea matendo ya nyuma ambayo umeondokana nayo ndipo tukuite saint:biggrin1: