TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Baada ya kupitia post zangu zote nilizowahi kuweka katika jamvi la JF, nimefanikiwa kujitambua nipo Kundi lipi.
Ni kweli wewe kundi lingine mojawapo kati ya haya: kigeugeu ,mnafiki au ndumilakuwili nashukuru wewe si rafiki yetu!mi sitabiriki sipo katika makundi hayo yote labda mwana saikolojia atueleze kama kuna kundi jingine kwani mi ni kimya sana na pia sipendi kum comand mtu na pia sipendi mtu anikomand ukinizengua ntakuchenchia mpaka utajuta kunifaham, naweza kwambia maneno machace ila yakakuuma wiki nzima.
Nafikiri mimi ni haina ya mtu wa pili......
Hujawahi Nielezea Hisia Zako.....teh teh teh.....We Kundi la kwanza.tuuuu.:becky:
Hakuna anayependa kusahihishwa, kugombana au kukemewa mbele za watu, hii ndiyo tabia ya watu wajeuri na walio na tabia za kitukutu. Mara nyingine hudhani wanapata sifa. Wako watu wa jinsi hii ambao hawawezi kukugombeza au (kukupa vidonge vyako) mkiwa wawili peke yenu, watangoja watu wengine wawepo ndiyo waanze kubwabwaja, cha kufanya jiepushe nao.
Kwa kule kukimbiwa na marafiki, na kuwa mpweke, huongeza tabia za kitukutu na kijeuri na hii huwafanya watu hawa kutambulika haraka na kiurahisi zaidi.
Zifuatazo ni alama zitakazokutambulisha mtu jeuri na mtukutu:
a) Alama za kimaneno
Mara kwa mara hupendelea kusema maneno haya vinywani mwao.
Nakwambia bora unge
Wewe sichochote, silolote
Nakwambia, lazima u...
Fanya vile ninavyokuambia mimi
Nataka u...
Wewe endelea tu tutaona...
b) Alama za kimwili
Hupendelea kusimama wima
Huwa wenye pozi kavu, ngumu (still and rigid pause)
Hupenda kukunja mikono
Hupenda kupayuka au kupigia wengine kelele
Hupend
Sahihi kwa kiasi fulaniNi kweli wewe kundi
lingine mojawapo kati ya haya: kigeugeu ,mnafiki au ndumilakuwili
nashukuru wewe si rafiki yetu!
mi sitabiriki sipo katika
makundi hayo yote labda mwana saikolojia atueleze kama kuna kundi
jingine kwani mi ni kimya sana na pia sipendi kum comand mtu na pia
sipendi mtu anikomand ukinizengua ntakuchenchia mpaka utajuta kunifaham,
naweza kwambia maneno machace ila yakakuuma wiki nzima.
Tofauti yao nini ndugu maana hata mm nilidhani mtu mkimya ndo mtu mpole , sasa tofauti ni ipi kati ya mkiya na mpole na tabia zao huwa zinkuwejeMkuu kuna tofauti kubwa kati ya Mpole na Mkimya. Watu wengi wanapo mwona mtu mkimya wanamwita mpole, hao ni wau wawili tofauti.