Saif Gaddaffi auwawa katika shambulizi la NATO

Kwani Jumuia za Kiarabu zimechukua hatua gani? sasa hivi kuna migogoro kama minne au mitano sasa kila mgogoro mnataka NATO tu.

Jumuia ya Kiarabu ni bomu kama ulivyo muungano wa Afrika. Lakini kama NATO waliingilia huko Libya ili kuepusha mauaji ya raia wasiokuwa na silaha, well, guess what, Assad is doing the same damn thing if not worse. Na tena huko Syria vyombo vya habari vya nje ndo haviruhusiwi hata kuingia basi inawezekana hali ikawa mbaya zaidi kuliko hata Libya.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inabidi tuangalie picha pana badala ya Gadaffi as Gadaffi, hawa NATO na washirika wao wanataka kuicolonize Libya kwa kutumia vibaraka wao ili wajikombee mafuta bwereree, Gadafi ametokea kuwa kikwazo kikubwa kwa plani yao na hivyo they have to get rid of him by any means. Kwa kiongozi yeyote mwenye uchungu na nchi yake hawezi kusurrender hivi hivi wakati uhuru wa nchi uko hatarini. wengine wanadai eti kwa nini gadafi asikimbie nchi kwa kuwa hawezi kushinda vita!, jamani unapoapa kuilinda nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje inabidi ufanye hivyo hata ikimaanisha kuutoa uhai wako kwa ajili ya nchi yako, siyo inapofikia mziki umekuwa mnene basi unabwaga manyanga chini na kuwaacha wezi na majambazi yaje yakombe rasilimali za taifa kwa ulaini!. jamani haya yanatokea libya, na yameshatokea nchi nyingine nyingi tu, inabidi tuungane kupinga uvamizi huu, kwa sababu ukiona mwenzako ananyolewa na wewe tia maji!. hizi dhahabu tulizokuwa nazo, uranium tuliyokuwa nayo!. siku amerca ikiamua kuiback dollar yake kwa gold ndo mtaelewa maana halisi ya ubeberu!. maana wakiitaka hiyo dhahabu yenu by any means necessary ndo mtashangaa waasi wameibukia wapi bongo na ni nani kawapa silaha.
 
Share this pageEmailPrint
9,711
ShareFacebookTwitter
Nato strike 'kills Saif al-Arab Gaddafi', Libya says


Click to play

Christian Fraser describes the scene of the air strike in which Saif al-Arab Gaddafi is said to have died
Continue reading the main story
Libya Crisis

Tripoli witness: Dying for fuel
The Gaddafi story
Gaddafi's bolt-hole
Family tree
A Nato air strike in the Libyan capital, Tripoli, has killed the son of Colonel Muammar Gaddafi, a government spokesman has said.

Saif al-Arab and three of Col Gaddafi's grandchildren died at their villa in the Bab al-Aziziya compound, he said.

The Libyan leader himself was in the villa at the time, the spokesman said, but was unharmed.

Nato said it had hit a "known command-and-control building" in the area, adding it did not "target individuals".

An alliance spokesman, Lt-Gen Charles Bouchard, said "all Nato's targets are military in nature".

He added that he was aware of reports that members of Col Gaddafi's family had been killed, but made no further comment.

"We regret all loss of life, especially the innocent civilians being harmed as a result of the ongoing conflict," said Lt-Gen Bouchard.

The BBC's Christian Fraser in Tripoli says that unusually the alliance issued its statement within hours of the strike, well aware of the political implications.

China and Russia within the Security Council have concerns that the alliance beyond the mandate of the UN resolution authorising "all necessary measures" to protect civilians.

But UK Prime Minister David Cameron said Nato's targeting policy was "in line with the UN resolution".

"It is about preventing a loss of civilian life by targeting Gaddafi's war-making machine, so that is obviously tanks and guns, rocket launchers, but also command and control," he told the BBC
 
Inabidi tuangalie picha pana badala ya Gadaffi as Gadaffi, hawa NATO na washirika wao wanataka kuicolonize Libya kwa kutumia vibaraka wao ili wajikombee mafuta bwereree, Gadafi ametokea kuwa kikwazo kikubwa kwa plani yao na hivyo they have to get rid of him by any means. Kwa kiongozi yeyote mwenye uchungu na nchi yake hawezi kusurrender hivi hivi wakati uhuru wa nchi uko hatarini. wengine wanadai eti kwa nini gadafi asikimbie nchi kwa kuwa hawezi kushinda vita!, jamani unapoapa kuilinda nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje inabidi ufanye hivyo hata ikimaanisha kuutoa uhai wako kwa ajili ya nchi yako, siyo inapofikia mziki umekuwa mnene basi unabwaga manyanga chini na kuwaacha wezi na majambazi yaje yakombe rasilimali za taifa kwa ulaini!. jamani haya yanatokea libya, na yameshatokea nchi nyingine nyingi tu, inabidi tuungane kupinga uvamizi huu, kwa sababu ukiona mwenzako ananyolewa na wewe tia maji!. hizi dhahabu tulizokuwa nazo, uranium tuliyokuwa nayo!. siku amerca ikiamua kuiback dollar yake kwa gold ndo mtaelewa maana halisi ya ubeberu!. maana wakiitaka hiyo dhahabu yenu by any means necessary ndo mtashangaa waasi wameibukia wapi bongo na ni nani kawapa silaha.

Mkuu mimi naomba niliangalie hili swala katika mtizamo tofauti. Kwanza kabisa mimi sishabikii sera za kimagharibi, maana naamini kabisa ukombozi wa kweli wa mwafrika utaletwa na mwafrika. Lakini je, tufanyeje pale hao hao viongozi wanapotawala nchi zao kama kampuni binafsi? Hivi tujiulize Gadhafi amekaa madarakani miaka 40 na ushee. Hivi kweli unataka kuniambia amekaa kwa ridhaa ya walibya? wale vijana na wazee walioandamana walitumwa na hao mabeberu? Nadhani tufike kipindi sisi waafrika kabla hatujalaumu wengine kwa matatizo yetu tujipime na kuangalia mchango wetu katika haya matatizo. Imekuwa kasumba kwa zaidi ya miongo mitano tangu Afrika ipate uhuru..viongozi wetu wanachemka na kukimbilia kuwanyoshea vidole hao mabeberu. Mtu kama Mugabe amefikia hata point akisutwa kwa ubadhirifu wa pesa za walipa kodi na maisha ya kifahari anayoishi wakati wanachi wake wanateseka anasema ni 'conspiracy za wazungu'. Jamani tunakwenda wapi? Juzi Membe bila aibu..anasema CHADEMA WANAFADHILIWA NA NCHI ZA MAGHARIBI KUONGELEA UFISADI TANZANIA! As if sisi wananchi huo ufisadi hautuhusu..yet ndo tunalala njaa, watoto hawaendi shule na matatizo lukuki.... Apologetics wa hawa watawala..wataniambia kwamba..ni jukumu la wananchi kuwaondoa madarakani..lakini itakuwaje pale ambapo wananchi wakijaribu kupiga kura..zinachakachuliwa.....wakiandamana peacefully..wananyeshewa risasi kama magaidi? Guys..in Africa fighting for democracy has never and will never be easy. Yaani wananchi tunaonekana mabwege completely...

All said, kila nchi ina interests zake. Usije kaa kamwe ukategemea kwamba US na washirika wake wataingilia pale ambapo hawana maslahi. Its simply naive to think that way. Kikubwa kwetu sisi waafrika ni kudeal na hawa jamaa kwa hoja. Lakini sasa ukishakuwa na watu kama wakina Mseveni nk..wanaopiga risasi live wapinzani wao..well, you might reconsider your condemnation of western countries. Tunaishi ulimwengu tofauti kabisa. Siku hizi kila unachokifanya..lazima iko siku utakilipia tuu. Hata kama si marekani..Ocampo akikuwekea arrest warrant..its enough to make you think twice. Tatizo la Africa..we dont take lives and liberty of our people seriously. Hata humu kwenye hoja za waungwana wengine..unaona kabisa kuna wanaoamini kwamba waafrika hawajui chochote..bali viongozi wao ndo inabidi wawafanyie maamuzi yote. Its unfair kabisa.

Kwamba dunia imejaa double standards? certainly YES, kwamba sera za taifa lolote zinaendeshwa kwa maslahi binafsi? certainly YES, kwamba NATO waende Somalia, Syria, Uganda, Cote Ivore nk? wakatatue matatizo ya huko hata kama hawana maslahi yao? probably not practicable. Kikubwa ni viongozi wetu kujielewa. Ni sisi tunaowapa hawa jamaa justification ya kufanya wanayoyafanya. Mpaka pale..waafrika tutakapoamka na kujua kwamba Africa is our responsbility, kwamba we have the destiny of our continent into our hands...we shall continue whining and whining against 'imperialism' just as a barking dog inside the fence!

Yet, kwamba atakayekuja baadala ya Gadhafi anaweza akawa mbaya zaidi..most likely. But should that justify the continuance of Gadhafi? I say no. na yeye taondolewa hivyo hivyo.

Unless, somebody brings an alternative of the much touted 'African solution for African problem' I will continue supporting 'people' like NATO. Though pathetic and humiliating, I guess they are much better that the Museveni`s and co. who are simply killing their own people simply because they want to stay in power.

Kwa wale wenzangu .......tunasema hivi, siku hizi... 'there is no sovereignty anymore rather, peoples have a right to self determination'. na Africa ndo kwanza kunakucha watu wanademand self determination wakati watawala wetu wanahangaika na kulinda 'sovereignty'. NA hakika wananchi tutashinda. The history is on our side.
 
Mkuu mimi naomba niliangalie hili swala katika mtizamo tofauti. Kwanza kabisa mimi sishabikii sera za kimagharibi, maana naamini kabisa ukombozi wa kweli wa mwafrika utaletwa na mwafrika. Lakini je, tufanyeje pale hao hao viongozi wanapotawala nchi zao kama kampuni binafsi? Hivi tujiulize Gadhafi amekaa madarakani miaka 40 na ushee. Hivi kweli unataka kuniambia amekaa kwa ridhaa ya walibya? wale vijana na wazee walioandamana walitumwa na hao mabeberu? Nadhani tufike kipindi sisi waafrika kabla hatujalaumu wengine kwa matatizo yetu tujipime na kuangalia mchango wetu katika haya matatizo. Imekuwa kasumba kwa zaidi ya miongo mitano tangu Afrika ipate uhuru..viongozi wetu wanachemka na kukimbilia kuwanyoshea vidole hao mabeberu. Mtu kama Mugabe amefikia hata point akisutwa kwa ubadhirifu wa pesa za walipa kodi na maisha ya kifahari anayoishi wakati wanachi wake wanateseka anasema ni 'conspiracy za wazungu'. Jamani tunakwenda wapi? Juzi Membe bila aibu..anasema CHADEMA WANAFADHILIWA NA NCHI ZA MAGHARIBI KUONGELEA UFISADI TANZANIA! As if sisi wananchi huo ufisadi hautuhusu..yet ndo tunalala njaa, watoto hawaendi shule na matatizo lukuki.... Apologetics wa hawa watawala..wataniambia kwamba..ni jukumu la wananchi kuwaondoa madarakani..lakini itakuwaje pale ambapo wananchi wakijaribu kupiga kura..zinachakachuliwa.....wakiandamana peacefully..wananyeshewa risasi kama magaidi? Guys..in Africa fighting for democracy has never and will never be easy. Yaani wananchi tunaonekana mabwege completely...

All said, kila nchi ina interests zake. Usije kaa kamwe ukategemea kwamba US na washirika wake wataingilia pale ambapo hawana maslahi. Its simply naive to think that way. Kikubwa kwetu sisi waafrika ni kudeal na hawa jamaa kwa hoja. Lakini sasa ukishakuwa na watu kama wakina Mseveni nk..wanaopiga risasi live wapinzani wao..well, you might reconsider your condemnation of western countries. Tunaishi ulimwengu tofauti kabisa. Siku hizi kila unachokifanya..lazima iko siku utakilipia tuu. Hata kama si marekani..Ocampo akikuwekea arrest warrant..its enough to make you think twice. Tatizo la Africa..we dont take lives and liberty of our people seriously. Hata humu kwenye hoja za waungwana wengine..unaona kabisa kuna wanaoamini kwamba waafrika hawajui chochote..bali viongozi wao ndo inabidi wawafanyie maamuzi yote. Its unfair kabisa.

Kwamba dunia imejaa double standards? certainly YES, kwamba sera za taifa lolote zinaendeshwa kwa maslahi binafsi? certainly YES, kwamba NATO waende Somalia, Syria, Uganda, Cote Ivore nk? wakatatue matatizo ya huko hata kama hawana maslahi yao? probably not practicable. Kikubwa ni viongozi wetu kujielewa. Ni sisi tunaowapa hawa jamaa justification ya kufanya wanayoyafanya. Mpaka pale..waafrika tutakapoamka na kujua kwamba Africa is our responsbility, kwamba we have the destiny of our continent into our hands...we shall continue whining and whining against 'imperialism' just as a barking dog inside the fence!

Yet, kwamba atakayekuja baadala ya Gadhafi anaweza akawa mbaya zaidi..most likely. But should that justify the continuance of Gadhafi? I say no. na yeye taondolewa hivyo hivyo.

Unless, somebody brings an alternative of the much touted 'African solution for African problem' I will continue supporting 'people' like NATO. Though pathetic and humiliating, I guess they are much better that the Museveni`s and co. who are simply killing their own people simply because they want to stay in power.

Kwa wale wenzangu .......tunasema hivi, siku hizi... 'there is no sovereignty anymore rather, peoples have a right to self determination'. na Africa ndo kwanza kunakucha watu wanademand self determination wakati watawala wetu wanahangaika na kulinda 'sovereignty'. NA hakika wananchi tutashinda. The history is on our side.

Ndugu bwana Masanja ninakupata unachoongea, Ila ukiangalia suala la uongozi katika prism ya System ya Kimagharibi, ukaifanya hiyo system kuwa ndiyo mizania ya system zote duniani basi ni kweli utasema Gadafi kweli kakaa sana madarakani na hivyo hafai. lakini ukilingalia kwa system ya Libya ambayo Gadafi mwenyewe anaizungumzia kama demokrasia ya wananchi kupitia Councils mbalimbali na kwamba yeye Gadafi siyo absolute ruler na yuko pale ceremonially basi huwezi kushangaa kwamba kakaa pale muda mrefu. ndugu masanja siyo kila system ya Magharibi iwe copied and pasted!. Chukulia mfano!. kwa nini tuiite system ya Uingereza kwamba ni demokrasia wakati Waziri mkuu hawezi kuunda serikali bila ridhaa ya Malkia?. hivi unafahamu Malkia wa Uingereza anaweza kumdismiss Waziri mkuu katika situation kadha wa kadha?, sasa hebu niambie huyo Malkia kachaguliwa na nani?. Ndugu Masanja, katika jamii yoyote kuna watu wasioridhika na serikali zao, tena inaweza kufikia kiwango cha kutoridhika kikafika asilimia kubwa ajabu, sasa hivi ikishafikia hatua hii ni halali kweli kuwaita maadui wa nchi yako ambao wala hawajali maumivu yako ili waje waiondoe serikali kisha uweke nao deal wakombe rasilimali za nchi?. Kama ni kumuondoa Ghadafi, walibya wenyewe pasipo kuwashirikisha watu wanaotaka kuwatia utumwani ndo wangetakiwa kuongoza mapambano haya!. halafu kitu kingine, Gadafi hakubaliki Mashariki ya nchi lakini Magharibi ya nchi anakubalika, je kwa nini sauti za hawa watu haziheshimiwi?, ni nini demokrasia hapa?. Lakini pia Gadafi ana haki ya kulinda uhuru na mipaka ya nchi yake dhidi ya waasi, na hivyo ndivyo inavyotarajiwa Amiri jeshi mkuu afanye!. waasi wanaitia nchi yao katika utegemezi wa Magharibi, na kusema kweli wanaitia nchi yao katika matatizo makubwa. kwanza wanayatengenezea makampuni ya silaha ya kimagharibi tenda ya silaha, iwapo watashika madaraka, pili watazipa kampuni za construction tenda mbalimbali, na kwa hivyo NATO wanalipua tu huku wakijua tenda za construction zaja, kisha Watauza Mafuta yao kwa kampuni kama vile BP, SHELL, TOTAL, kwa bei cheee!. unaweza ukashangaa na American base inawekwa pale kwenye mediterranean sea. kisha wataambiwa central bank yao ifanye kama central banks za nchi nyingine ili Libya itegemee international bankers. hayo ni mambo ambayo Gadafi alikuwa akiyapinga, na Wamagharibi ndo wanayoyataka!. Masanja Wake-up, katika kila nchi kuna Legitemate Grief, lakini mkishaanza kucollaborate na maadui wa nchi ili kufikia Political targets, basi nyinyi na wale mnaowachukia mnakuwa katika loose-loose situation.
 
Wanaua hadi watoto....shame on them. Natamani siku moja lighaidi lijitoe mhanga liwalipue watoto wa nanihino......ili nao wajisikie machungu ya hao wanaowaulia wanao.



Hawa watu wana kumbukumbu na hasira za tembo.... watakuja tu from nowhere wakati kumetulia, they wont even know what hit them.
 
Tumepigwa na upofu? Hawa wamagharibi nani kawatuma waje kumuua Gadafi? Hawana haja na Gadafi ila mafuta ya Libya. Mbona Yemen na Syria waaandamanaji wanauawa kila kukicha lakini kwa hakuna azimio wala uvamizi. Kwa Libya ambapo Gadafi anapambana na Waasi ati anavamiwa na kupigwa na wanaye na wajukuu kuuawa, ujinga huu. Hawa NATO wanatakiwa wapelekwe the Hegue kwa kuwa hata hili azimio lao haramu halikuwaruhusi kuua walitaka kuzuia ndege zisiruke lakini wao wanaua ni kwa nini Ocampo asianze uchunguzi dhidi ya NATO?
 
Tumepigwa na upofu?...
Mbona hapo patamu. Inasemekana pia kwamba kwenye mauaji ya Thomas Sankara (huyo kwenye avatar) kulikuwepo na mkono wa Gaddafi. Sasa, nani ni kipofu?

Sidhani kama unautendea haki mzimu wa Sankara!
 
Ndugu bwana Masanja ninakupata unachoongea, Ila ukiangalia suala la uongozi katika prism ya System ya Kimagharibi, ukaifanya hiyo system kuwa ndiyo mizania ya system zote duniani basi ni kweli utasema Gadafi kweli kakaa sana madarakani na hivyo hafai. lakini ukilingalia kwa system ya Libya ambayo Gadafi mwenyewe anaizungumzia kama demokrasia ya wananchi kupitia Councils mbalimbali na kwamba yeye Gadafi siyo absolute ruler na yuko pale ceremonially basi huwezi kushangaa kwamba kakaa pale muda mrefu. ndugu masanja siyo kila system ya Magharibi iwe copied and pasted!. Chukulia mfano!. kwa nini tuiite system ya Uingereza kwamba ni demokrasia wakati Waziri mkuu hawezi kuunda serikali bila ridhaa ya Malkia?. hivi unafahamu Malkia wa Uingereza anaweza kumdismiss Waziri mkuu katika situation kadha wa kadha?, sasa hebu niambie huyo Malkia kachaguliwa na nani?. Ndugu Masanja, katika jamii yoyote kuna watu wasioridhika na serikali zao, tena inaweza kufikia kiwango cha kutoridhika kikafika asilimia kubwa ajabu, sasa hivi ikishafikia hatua hii ni halali kweli kuwaita maadui wa nchi yako ambao wala hawajali maumivu yako ili waje waiondoe serikali kisha uweke nao deal wakombe rasilimali za nchi?. Kama ni kumuondoa Ghadafi, walibya wenyewe pasipo kuwashirikisha watu wanaotaka kuwatia utumwani ndo wangetakiwa kuongoza mapambano haya!. halafu kitu kingine, Gadafi hakubaliki Mashariki ya nchi lakini Magharibi ya nchi anakubalika, je kwa nini sauti za hawa watu haziheshimiwi?, ni nini demokrasia hapa?. Lakini pia Gadafi ana haki ya kulinda uhuru na mipaka ya nchi yake dhidi ya waasi, na hivyo ndivyo inavyotarajiwa Amiri jeshi mkuu afanye!. waasi wanaitia nchi yao katika utegemezi wa Magharibi, na kusema kweli wanaitia nchi yao katika matatizo makubwa. kwanza wanayatengenezea makampuni ya silaha ya kimagharibi tenda ya silaha, iwapo watashika madaraka, pili watazipa kampuni za construction tenda mbalimbali, na kwa hivyo NATO wanalipua tu huku wakijua tenda za construction zaja, kisha Watauza Mafuta yao kwa kampuni kama vile BP, SHELL, TOTAL, kwa bei cheee!. unaweza ukashangaa na American base inawekwa pale kwenye mediterranean sea. kisha wataambiwa central bank yao ifanye kama central banks za nchi nyingine ili Libya itegemee international bankers. hayo ni mambo ambayo Gadafi alikuwa akiyapinga, na Wamagharibi ndo wanayoyataka!. Masanja Wake-up, katika kila nchi kuna Legitemate Grief, lakini mkishaanza kucollaborate na maadui wa nchi ili kufikia Political targets, basi nyinyi na wale mnaowachukia mnakuwa katika loose-loose situation.

Gamba hapa swala si demokrasia. La hasha. Mimi ugomvi wangu na watu kama akina Gadhafi na wadogo zake wakina Mseveni ni hii ya kufanya nchi zinakuwa kama kampuni zao binafsi wakati wananchi wakiishi kama wapagazi. Umesema vyema kwamba wananchi wakati mwingine watakuwa na legitimate grief. Lakini hujasema wata-ziadress vipi. Hii ya kwamba kuna section za wanaomsupport..well ni trick hiyo hiyo watawala wote wanayoitumia ya divide and rule. Hata leo ukija Tanzania kuna walio tayari kumtetea Lowassa na Rostam na kuna waliotayari kuwaona wakisulubiwa mbele ya wananchi. Kuna wanaoamini kwamba kila aliye na mawazo tofauti na JK ni kwa sababu yeye ni muislamu..we have it all over.......

Unajua Gamba hapa twaweza andika mpaka kesho asubuhi. Kama NATO wasingekwenda Libya na Gadhafi akaendelea kuua watu wake kama alivyoahidi kabla ya NATO kuingia...leo hii tungekuwa tunawalaumu kwenye hili jamvi (maana thats the only thing we Africans are good at!). Wameingia..tunawalaumu. Hivi nikuulize..unadhani kwa nini China na Urusi wanaipinga hii vita ya Libya? ni kwa sababu wanaipenda Africa sana? Hapana. Kama ingekuwa ni Georgia au Tibet au North Korea..wangekaa kimya? Mkuu its all about geo-political interests. 1993, OAU na UN walikaa kimya wanyarwanda wakachinjana kama kuku...leo hii kila mtu anawalaumu hawa hawa 'international community' As an American would have said 'you are damned if you do it, you are damned if you dont'.

Hapana shaka Libya itachukua miaka mingi kurudi walipo....kwamba wana mafuta? Well, even Iraq has oil. Harafu hii kelele kwamba watu wanafuata mafuta..I dont get it....Africa kila nchi ina raslimali..alkini ndo imekuwa chanzo cha migogoro kati yetu wenyewe.....angalia Zanzibar..hata mafuta hawajayapata..wameshaanza kulalama waondoke kwenye muungano? And do you think a common Zanzibari will be better off..than now in this Muungano? I can bet my cheap watch! Hivi Nigeria inayozalisha mafuta kwa wingi...na leo wananchi wake wanalala gizani..wakati watawala wameshiba na maccount kibao huko ulaya kuna mkono wa 'mabeberu'? Gabon..ambako mpaka Omar Bongo alisema 'Gabon without France is like a car with an engine but without a driver'! Mimi nimechoka kutetea haya mafilauni simply because ni waafrika wenzangu! Kama tungekuwa tunalala njaa wote..au tumefunga mikanda wote...as they like saying...you could have convinced me otherwise! Naamini NATO au US siyo suluhisho..la matatizo yetu..but..the alternative is worse!

Kuna mwanajamvi humu kaandika hivi 'those who make peaceful changes impossible, make violent revolution inevitable'

Masanja
 
Sasa mnaua hadi wajukuu wake? I hate Gadaffi but I hate NATO and its allies even more.
Nakubaliana kabisa na wewe! Why killing other innocent people if the intention is to eliminate ghadafi? Hivi hawa wazungu hawaoni aibu wanapoanza kununua mafuta ya the so called labels wakati hakuna anayejua hawa hasa ni kina nani? Ghadafi simpendi na anastahili kipigo, lakini sio kwa staili hii ya NATO!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Gamba hapa swala si demokrasia. La hasha. Mimi ugomvi wangu na watu kama akina Gadhafi na wadogo zake wakina Mseveni ni hii ya kufanya nchi zinakuwa kama kampuni zao binafsi wakati wananchi wakiishi kama wapagazi. Umesema vyema kwamba wananchi wakati mwingine watakuwa na legitimate grief. Lakini hujasema wata-ziadress vipi. Hii ya kwamba kuna section za wanaomsupport..well ni trick hiyo hiyo watawala wote wanayoitumia ya divide and rule. Hata leo ukija Tanzania kuna walio tayari kumtetea Lowassa na Rostam na kuna waliotayari kuwaona wakisulubiwa mbele ya wananchi. Kuna wanaoamini kwamba kila aliye na mawazo tofauti na JK ni kwa sababu yeye ni muislamu..we have it all over.......

Unajua Gamba hapa twaweza andika mpaka kesho asubuhi. Kama NATO wasingekwenda Libya na Gadhafi akaendelea kuua watu wake kama alivyoahidi kabla ya NATO kuingia...leo hii tungekuwa tunawalaumu kwenye hili jamvi (maana thats the only thing we Africans are good at!). Wameingia..tunawalaumu. Hivi nikuulize..unadhani kwa nini China na Urusi wanaipinga hii vita ya Libya? ni kwa sababu wanaipenda Africa sana? Hapana. Kama ingekuwa ni Georgia au Tibet au North Korea..wangekaa kimya? Mkuu its all about geo-political interests. 1993, OAU na UN walikaa kimya wanyarwanda wakachinjana kama kuku...leo hii kila mtu anawalaumu hawa hawa 'international community' As an American would have said 'you are damned if you do it, you are damned if you dont'.

Hapana shaka Libya itachukua miaka mingi kurudi walipo....kwamba wana mafuta? Well, even Iraq has oil. Harafu hii kelele kwamba watu wanafuata mafuta..I dont get it....Africa kila nchi ina raslimali..alkini ndo imekuwa chanzo cha migogoro kati yetu wenyewe.....angalia Zanzibar..hata mafuta hawajayapata..wameshaanza kulalama waondoke kwenye muungano? And do you think a common Zanzibari will be better off..than now in this Muungano? I can bet my cheap watch! Hivi Nigeria inayozalisha mafuta kwa wingi...na leo wananchi wake wanalala gizani..wakati watawala wameshiba na maccount kibao huko ulaya kuna mkono wa 'mabeberu'? Gabon..ambako mpaka Omar Bongo alisema 'Gabon without France is like a car with an engine but without a driver'! Mimi nimechoka kutetea haya mafilauni simply because ni waafrika wenzangu! Kama tungekuwa tunalala njaa wote..au tumefunga mikanda wote...as they like saying...you could have convinced me otherwise! Naamini NATO au US siyo suluhisho..la matatizo yetu..but..the alternative is worse!

Kuna mwanajamvi humu kaandika hivi 'those who make peaceful changes impossible, make violent revolution inevitable'

Masanja

Masanja!. baada ya waasi kuteka zaidi ya asilimia 50 ya nchi, Gadafi akaamua kuikomboa mji mmoja baada ya mwingine, hakucommit mauaji ya halaiki katika miji hiyo!, miji kama ras-lanuf, brega, al-zuwahiya yote ilikuwa mikononi mwa waasi kisha ikakombolewa na majeshi ya ghadafi lakini hakuna mauaji ya halaiki yaliyo take place, sasa ni kipi kinakufanya uamini kwamba Gadafi angeingia baenghazi angecommit genocide?. Masanja kuna technic moja ya propaganda inaitwa "ommision of facts", hii technic wanaitumia wataalamu wa propaganda kuondoa portion ya ukweli ili kutimiza matakwa yao mfano, majeshi ya Gadafi yalipoizingira Benghazi Gadafi alisema, waasi wote watakoweka silaha zao chini basi watapewa amnesty, ila wale watakoendelea kupambana na majeshi ya serikali watakuwa treated without mercy", sasa vyombo vya habari vya magharibi vikaichukua portion ya waasi kuwa terated without mercy wakaipropagate, Obama naye akaichukua hiyo portion na kujenga case ya intervention kwamba the world cannot remain without doing anything while the dictator is threatening to treat his own people without mercy! ila portion ya amnesty ikiwa wataweka silaha zao chini wala hawaizungumzii!!. unaona hapo mchezo wa propaganda unavyochezwa?. Kuna ishu nyingine iliuzwa sana na vyombo vya Magharibi pindi mzozo ulipoanza, walidai Gadafi anatumia ndege za kivita kupambana na waandamanaji, Warusi na vifaa vyao walikuwa wanamonita anga ya Afrika kaskazini wakasema hakuna kitu kama hicho!, again wanatumia uwongo kujstify intervention!. deception, deception, deception!. Gadafi ameshakubali ceasefire kwa nini NATO waendelee kumwaga mabomu, ni dhahiri NATO lengo lao ni regime change, na tena regime yenyewe wanayitaka ni ile pro-west otherwise hawataacha mpaka hii issue igeuke liability kwao au mpaka wamuondoe Gadafi!.
 
And the Grandsons (3) - ! Preemption?????

Anyways if He has been KILLED - Let him die - And Go to HELL!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Gaddafi - your days are numbered!

Gaddafi kufa atakufa coz ndio njia ya wote.
Ila kumbuka hata wewe utakufa tu.
Na kama kufa Gaddafi atakufa akiipigiania Libya dhidi ya wakoloni na mapandikizi.
Sijui wewe utafia Gesti gani?
 
Sasa mnaua hadi wajukuu wake? I hate Gadaffi but I hate NATO and its allies even more.

Kwani hukumbuki kwa Saddam ilikuwaje?
siku waliposhambulia nyumba Waliyomo watoto wa Saddam palikuwa na mjukuu wa Saddam mwenye umri wa miaka 12...nae pia walimuuwa ili kuteketeza kizalia chote cha Saddam ili kuepuka chuki itakayijijenga baadae...

ni kitendo cha kishenzi sana, kiasi kwamba anayecheka na kukenua ni hayawani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwanini wapige nyumba za kuishi kwani nazo zina fly? mwanzoni walisema Tanks za Gaddafi zina fly.

Wapuuzi sana NATO. Wao wangetuambia tu wanaenda vitani kumpiga Gadaffi, na sio eti ku enforce no flying zone. Mbona wahasi wa joseph Kone hawawasaidii? Ila nako wataingia siku si nyingi si kumepatikana mafuta.

Mkuu.
Hapa ni kinyume chake...nia ni kumpoteza Joseph Kony.

US President Barack Obama has outlined a plan to disarm one of Africa's most feared rebel militias, the Ugandan Lord's Resistance Army.
BBC News - Barack Obama's plan to defeat Ugandan LRA rebels

US President Barack Obama outlines plan to defeat Ugandan LRA rebels | Congo Planet

Africom
 
Huyo kijana ndie aliyepewa internship US kwenye taasisi nyeti na kukatisha mkataba baada ya kusikia Libya inashambuliwa. Akaamua kurudi kwao kuongoza mapambano. Wamarekani walitukana sana kuwa inakuwaje unampa kijana kama huyo internship wakati wamarekani kibao ni jobless. Na wakasema hivyo ndivyo Marekani inavyotrain magaidi yenyewe alafu inaanza kucomplain. Think he was working in a certain firm dealing with something sensitive in US.
Mkuu.
Ni kijana mwengine wa gaddaffi sio Saif na huyo imeripotiwa pia aliuwawa.
Until uprising, Gadhafi's son was on U.S. internship - Yahoo! News

Khamis Gaddafi toured US military facilities weeks before Libya crisis - Telegraph

Death of Gaddafi's son Khamis confirmed | Ya Libnan | World News Live from Lebanon
 
Mara baada ya taarika kusema kuwa mtoto wa Gadafi ameuwawa na Nato,wengi wetu wamefurahi
Binafsi nayalaani kama ambavyo nililaani uvamizi wa kihuni,kwa yeyote anayeitakia mema Africa hawezi kushabikia uvamizi na mauaji haya ya mtoto wa Ghadafi na raia wa Libya,kimsingi Nchi za magharibi hazina mapenzi ya kweli na Africa,wanachotaka ni mafuta ya Libya na rasilimali nyingine,kama Ghadafi angeondolewa na nguvu ya umma basi nisingekuwa na neno,hili la kuruhusu uvamizi,na kuuwawa kwa nchi huru kamwe sitalikubali.Historia itatuhukumu
 
Naungana na wewe ndugu Ephata.Hata mm nimesikitishwa sana na naomba mwenyezi Mungu awadhalilishe wote waliofanya hvyo....
 
Back
Top Bottom