Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Wakuu,
Nimepokea ujumbe kuhusiana na kupotea kwa mtoto ANNA MUNYASA huko Uingereza. Nimefanya search kwenye net kuangalia kama kuna habari zozote zilizoandikwa na kama kuna detailed information zozote kusaidia wasamaria wema kumsadia mama mzazi anayemtafuta mtoto wake ampate.
Mtoto amepotea Uingereza tangu July mwaka huu. Inawezekana/inasemekana baba mzazi, REMIGIUS MUNYASA amemtoroshea mtoto na kumleta huku Tanzania, lakini habari hii haina uhakika sana. Police wa hapa Bongo kama nilivyosoma habari ya BBC naona wameshajulishwa. Pia vyombo mbalimbali (border control) vimeshajulishwa.
Kwa wenye ufahamu mtoto huyu alipo, tafadhali sana wasiliana na Police hapa Tanzania.
Kwa walioko Uingereza na popote pengine pale wanaweza pia kuwasilisha habari kwa: West Midlands Police - (+44) 845-113 5000 au NPIA Missing Persons Bureau on (+44) 808-100 8777. Pia unaweza kutembelea mtandao huu http://www.helpfindmychild.net/anna-munyasa kupata maelezo zaidi na kuweza kutuma barua pepe hapa.
Shukrani.
SteveD.
Nimepokea ujumbe kuhusiana na kupotea kwa mtoto ANNA MUNYASA huko Uingereza. Nimefanya search kwenye net kuangalia kama kuna habari zozote zilizoandikwa na kama kuna detailed information zozote kusaidia wasamaria wema kumsadia mama mzazi anayemtafuta mtoto wake ampate.
Mtoto amepotea Uingereza tangu July mwaka huu. Inawezekana/inasemekana baba mzazi, REMIGIUS MUNYASA amemtoroshea mtoto na kumleta huku Tanzania, lakini habari hii haina uhakika sana. Police wa hapa Bongo kama nilivyosoma habari ya BBC naona wameshajulishwa. Pia vyombo mbalimbali (border control) vimeshajulishwa.
Picha za mtoto Anna Munyasa
Source: BBC
Source: Helpfindmychild.net
Picha ya mama mzazi, Rosemary Kimolo
Source: BBC
Picha ya baba mzazi, Remigius Munyasa
Source: Helpmefindmychild.net
Source: BBC
Source: Helpfindmychild.net
Picha ya mama mzazi, Rosemary Kimolo
Source: BBC
Picha ya baba mzazi, Remigius Munyasa
Source: Helpmefindmychild.net
Kwa wenye ufahamu mtoto huyu alipo, tafadhali sana wasiliana na Police hapa Tanzania.
Kwa walioko Uingereza na popote pengine pale wanaweza pia kuwasilisha habari kwa: West Midlands Police - (+44) 845-113 5000 au NPIA Missing Persons Bureau on (+44) 808-100 8777. Pia unaweza kutembelea mtandao huu http://www.helpfindmychild.net/anna-munyasa kupata maelezo zaidi na kuweza kutuma barua pepe hapa.
Shukrani.
Child, five, missing since July
Police are growing "increasingly concerned" about a five-year-old girl who has been missing since she went on holiday with her father in July.
Anna Munyasa, from Washwood Heath, Birmingham, went on holiday with 39-year-old Remigius Munyasa.
There was an unconfirmed sighting of Mr Munyasa in Wolverhampton on Wednesday, but he was "evidently not living at his flat" in Birmingham, police said.
The girl's mother, Rosemary Kimolo, said it was like "living in hell".
'So sad'
Mr Munyasa, who is separated from Anna's mother, went on holiday with the child on 26 July.
He does not have a permanent job and police said they were worried about where the pair were sleeping and how the father was able to feed and clothe his daughter.
But the West Midlands force said it was not concerned that Anna would come to any physical harm while she was with her father.
The girl's mother said missing her fifth birthday on 4 September "broke" her heart.
In a statement, she added: "We had planned a big party to celebrate her birthday and the fact that she was about to start her school life a few days later - it was all she could talk about.
"She was excited about becoming such a big girl.
"I am so sad that she has missed out on a milestone in her life.
"Seeing all the shops getting ready for Christmas only reinforces the fact that she is not with me."
There was an unconfirmed sighting of Mr Munyasa on his own in West Park in Wolverhampton on Wednesday.
There was another unconfirmed sighting of the man and his daughter at the start of October on Howard Street in the city near to the Matalan shop.
'No sign'
Det Insp Jon Thursfield, from Queens Road police station, said: "We believe that Anna and her father may have visited Coventry, Nottingham and Glasgow.
"There has been some suggestion that they have travelled to Tanzania although there is no evidence to support this."
There had been "no sign" of the pair at the flat Mr Munyasa rents in Birmingham city centre, police said.
The force expressed concern about the "emotional and psychological effects" the prolonged separation from her mother would have on her.
Anna has been described as five years old, 3ft tall and of slim build, with brown eyes and long black hair.
Mr Munyasa has been described as black, about 5ft 8ins tall, clean shaven and having short black Afro-Caribbean hair with grey flecks.
Source: http://news.bbc.co.uk/go/pr/fr/-/1/hi/england/west_midlands/8309127.stm
SteveD.