Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Kuna ubishi uanendelea hapa mtaani, inavyoelekea hakuna hitimisho litakalofikiwa.
So, wakuu naomba mnisaidie kujua japo kwa faida yangu.
Issue yenyewe ni hivi:
Iwapo bunge kwa kauli moja limepitisha mswada fulani (let's say kama ule wa juzi juzi), ukafika kwa rais ili ausaini kuwa sheria, lakini rais pengine kwa sababu anazoona zinafaa akakata kusaini ule mswada. Je, madhara yake ni yapi?
Sasa, kuna wanaosema rais atalivunja bunge kwa kuwa tayari kuna kupishana kwa hii mihimili miwili, yaani bunge na serikali.
Kuna wanaosema rais ataurudisha bungeni ukajadiliwe tena. Na kwamba ataambatanisha mapendekezo yake, na sababu za msingi zilizomfanya asiusaini. Swali, kama bunge litashikilia msimamo wake na kuupitisha tena bila kufanya marekebisho, itakuwaje?
Naamini kuna watalamu wa mambo haya wanapita humu, tafadhali naomba tafsiri ya hili jambo.
So, wakuu naomba mnisaidie kujua japo kwa faida yangu.
Issue yenyewe ni hivi:
Iwapo bunge kwa kauli moja limepitisha mswada fulani (let's say kama ule wa juzi juzi), ukafika kwa rais ili ausaini kuwa sheria, lakini rais pengine kwa sababu anazoona zinafaa akakata kusaini ule mswada. Je, madhara yake ni yapi?
Sasa, kuna wanaosema rais atalivunja bunge kwa kuwa tayari kuna kupishana kwa hii mihimili miwili, yaani bunge na serikali.
Kuna wanaosema rais ataurudisha bungeni ukajadiliwe tena. Na kwamba ataambatanisha mapendekezo yake, na sababu za msingi zilizomfanya asiusaini. Swali, kama bunge litashikilia msimamo wake na kuupitisha tena bila kufanya marekebisho, itakuwaje?
Naamini kuna watalamu wa mambo haya wanapita humu, tafadhali naomba tafsiri ya hili jambo.