Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,279
mae hujaachaga wivu tu kwa Sauda???...lol!!! avae matenge kwanianaenda dhifa za kitaifa bana....
afu hiyo 'shindilia yake ni hiy hiyo au anapenda za hivo!!!
hongera mwayego wengine wanakuona wa nini kumbe kaka braza alikuwa anajiuliza atakupata lini...
Lol @ Bee
Sidiria za hivyo poa lkn ukikaa nayo muda mrefu unaona kama umewekewa tofali kwenye shingo!! Hehehe